Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Maalim Seif Sharif Ahmad, anaonge anaelezea habari za Zanzibar, na CUF, CCM, zilivyounda serikali ya umoja wa kitaifa
endelea kutupa data faiza...Namuona anafananisha muafaka wa Zanzibar kama muafaka wa Meya Arusha, anuliza jee, Chadema sasa siyo opposition tena kwa kufikia muafaka Arusha?
hakuna muafaka Arusha madiwani wamerubuniwa wakauza kiti cha umeya, wanashughulikiwa!Namuona anafananisha muafaka wa Zanzibar kama muafaka wa Meya Arusha, anuliza jee, Chadema sasa siyo opposition tena kwa kufikia muafaka Arusha?
Namuona anafananisha muafaka wa Zanzibar kama muafaka wa Meya Arusha, anuliza jee, Chadema sasa siyo opposition tena kwa kufikia muafaka Arusha?
Kwani ni lazima sana uweke spinning?
Hongera kwa hilo sharif..bora umesema vichwa ngumu kuelewa wa magamba watajiuliza kwanini amesema hivyo..Pinda, Shibuda na wote mliopinga posho mnasemaje?Maalin Seif akihojiwa katika kipindi cha 'Dakika 45' ITV amesema hoja ya CDM kuhusu posho za wabunge ni hoja ya nguvu. Ameifagilia. Anasema yeye yuko serikalini,inabidi ajiulize kazii yake ni nini. Kwa hiyo posho ya nini kwa kazi aifanyayo kisheria. Ameitaka serikali isiipuze hoja hiyo, vinginevyo serikali ije na hoja yenye nguvu kuliko ya CDM. Amesema wananchi wanataka kuona hoja za nguvu kama hiyo ya CDM.
Maalin Seif akihojiwa katika kipindi cha 'Dakika 45' ITV amesema hoja ya CDM kuhusu posho za wabunge ni hoja ya nguvu. Ameifagilia. Anasema yeye yuko serikalini,inabidi ajiulize kazii yake ni nini. Kwa hiyo posho ya nini kwa kazi aifanyayo kisheria. Ameitaka serikali isiipuze hoja hiyo, vinginevyo serikali ije na hoja yenye nguvu kuliko ya CDM. Amesema wananchi wanataka kuona hoja za nguvu kama hiyo ya CDM.