Naomba mniruhusu kuwaletea kinachojiri au yatakayojiri katika viwanja hivi ambapo makamanda wa CHADEMA wana mkutano wa hadhara wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kanda, Mabere Nyaucho Marando
Naomba mniruhusu kuwaletea kinachojiri au yatakayojiri katika viwanja hivi ambapo makamanda wa CDM wana mkutano wa hadhara wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kanda, Mabere Nyaucho Marando
Tupo pamoja Kamanda UJANJAUJANJA. Sasa Kibaha tuko mbele kimapambano.Hatuburuzwi tena kama zamani. Nogesheni mabandiko yako na picha. Viva CHADEMA,viva Tanzania
Naomba mniruhusu kuwaletea kinachojiri au yatakayojiri katika viwanja hivi ambapo makamanda wa CDM wana mkutano wa hadhara wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kanda, Mabere Nyaucho Marando