LIVE: Arsenal VS Bayern Munchen...

Utafikiri Arsenal inacheza ugenini..
 
mpaka sasa Bay wameshot 8 na goli 2 wakati ars hata moja hawajashot..
 
arsenal wangekuwa wanajaribu wange pata lakufutia machozi ila kwa style hii wasubiri kichapo tu..
 
Msd wawape washabiki wa Bunduki Kontena la Panadol.
Yaani timu imeoza kama mbolea ya ruzuku yaani inapunguzo kwa wafungaji.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…