Ushindi leo bila wasi wasi.
Tukianza na kasi tunauwezo wa kuwafunga, lakini kama tutaanza kwa kusinzia kusubiri mpaka tufungwe ndio tuamke tutajuta
Kama fans wa Man U vile..!me nawahurumia hawa asenal acha leo wajitahidi washinde,sema tatizo lao hawa wakishinda hii midomo yao tutakoma nayo...
Huu ni mpira,kuna winning and losing!Mbona hujiamini?
Janjaweed kwa kifupi ni J na Jack Wilshere kwa kifupi ni JW.JanjaWeed au nani?
We have come to bury Arsenal not praise them! Eh bana tumekuja kumzika Asenali wala siyo kumtukuza.