Live another Day: JACK BOWER

Live another Day: JACK BOWER

mucho886

Senior Member
Joined
Dec 1, 2013
Posts
169
Reaction score
41
Guys, naomba msaada wenu. Mwenye uelewa wa namna ku download series naomba anielekeze tafadhari. Jana nimenunua CD ya jack Bobwer Live another Day mwendelezo wa 24 hours, cha ajabu ilikuwa na episode moja tu wakati imeanza kuonyeshwa tangu tarehe 06/05/2014. Nilitegemea japo episode 5, nitizame masaa 5, sasa ni saa moja, season moja ina episode 24, sasa kama wana burn episode moja kwenye CD tutalipa kiasi gani? Naombeni msaada kwa wale wanaodownload series au movie. Kuna wakati nilikuwa masomoni uswiss nilikuwa natumia WAWACITY lakini niliporudi huku ilikataa baada ya kugunduwa server niliyokuwa natumia ni tofauti
 
Guys, naomba msaada wenu. Mwenye uelewa wa namna ku download series naomba anielekeze tafadhari. Jana nimenunua CD ya jack Bobwer Live another Day mwendelezo wa 24 hours, cha ajabu ilikuwa na episode moja tu wakati imeanza kuonyeshwa tangu tarehe 06/05/2014. Nilitegemea japo episode 5, nitizame masaa 5, sasa ni saa moja, season moja ina episode 24, sasa kama wana burn episode moja kwenye CD tutalipa kiasi gani? Naombeni msaada kwa wale wanaodownload series au movie. Kuna wakati nilikuwa masomoni uswiss nilikuwa natumia WAWACITY lakini niliporudi huku ilikataa baada ya kugunduwa server niliyokuwa natumia ni tofauti

Fanya kazi za maendeleo yako achana na kupoteza muda na fictions utalemaa akili mkuu!
 
Guys, naomba msaada wenu.
Mwenye uelewa wa namna ku download series naomba anielekeze tafadhari.
Jana nimenunua CD ya jack Bobwer Live another Day mwendelezo wa 24
hours, cha ajabu ilikuwa na episode moja tu wakati imeanza kuonyeshwa
tangu tarehe 06/05/2014. Nilitegemea japo episode 5, nitizame masaa 5,
sasa ni saa moja, season moja ina episode 24, sasa kama wana burn
episode moja kwenye CD tutalipa kiasi gani? Naombeni msaada kwa wale
wanaodownload series au movie. Kuna wakati nilikuwa masomoni uswiss
nilikuwa natumia WAWACITY lakini niliporudi huku ilikataa baada ya
kugunduwa server niliyokuwa natumia ni tofauti

Hapa ni jukwaa la siasa hayo mambo ya kishoga peleka kaulize fb.....kwani hilo swali linasaidiaje nchi hii.
 
Guys, naomba msaada wenu. Mwenye uelewa wa namna ku download series naomba anielekeze tafadhari. Jana nimenunua CD ya jack Bobwer Live another Day mwendelezo wa 24 hours, cha ajabu ilikuwa na episode moja tu wakati imeanza kuonyeshwa tangu tarehe 06/05/2014. Nilitegemea japo episode 5, nitizame masaa 5, sasa ni saa moja, season moja ina episode 24, sasa kama wana burn episode moja kwenye CD tutalipa kiasi gani? Naombeni msaada kwa wale wanaodownload series au movie. Kuna wakati nilikuwa masomoni uswiss nilikuwa natumia WAWACITY lakini niliporudi huku ilikataa baada ya kugunduwa server niliyokuwa natumia ni tofauti

Pamoja na kusoma mpaka USWIZI bado unanunu dvd za kuburn Kariakoo?
 
Pamoja na kusoma mpaka USWIZI bado unanunu dvd za kuburn Kariakoo?

Hapa Dar utapata wapi DVD original ya series? Uswiss zinauzwa swiss francs 180 ambayo inakaribia laki tatu? Wangapi wananua hapa? Acha madongo bhana wew mwenyew huwezi nunua hata kama una hela vipi
 
Hapa Dar utapata wapi DVD original ya series? Uswiss zinauzwa swiss francs 180 ambayo inakaribia laki tatu? Wangapi wananua hapa? Acha madongo bhana wew mwenyew huwezi nunua hata kama una hela vipi

Nimekuelewa mkuu labda niweke sawa nilicho maanisha ni kuwa umenunuaje dvd yenye episode 1 wakati zinapatikana zilizo complete. Ndiyo maana nasema umenunua zile za mtaani za akima dj Mark. Kwani unaishi wapi mkuu?
 
Nimekuelewa mkuu labda niweke sawa nilicho maanisha ni kuwa umenunuaje dvd yenye epsode 1 wakati zinapatikana zilizo complete. Ndiyo maana nasema umenunua zile za mtaani za akima dj Mark. Kwani unaishi wapi mkuu?

Hiyo Cd Imetoka jana na wote walionunua wamejuta episode moja. Wamefanya makusudi kwa sababu ni mpya na watu wengi wanampenda sana Jack Bower wa 24 hrs.
 
Nimekuelewa mkuu labda niweke sawa nilicho maanisha ni kuwa umenunuaje dvd yenye episode 1 wakati zinapatikana zilizo complete. Ndiyo maana nasema umenunua zile za mtaani za akima dj Mark. Kwani unaishi wapi mkuu?

Ebwana mkuu tuambie wapi twaweza pata complete. Mi nipo dar
 
Hapa Dar utapata wapi DVD original ya series? Uswiss zinauzwa swiss francs 180 ambayo inakaribia laki tatu? Wangapi wananua hapa? Acha madongo bhana wew mwenyew huwezi nunua hata kama una hela vipi

24 imerudi so far ina episode 1,2,3 download kupitia torrent
 
Ninazo hadi episode ya 4 sasa sijui nitakupataje nikupe ndugu nipo morogoro.
 
Back
Top Bottom