Mzee Kaizer kuna wazee wawili watatu wana umri zaidi ya miaka 55 hivi nimewaona wanaacha familia wanaenda kuoa watoto wabichii,sasa sijui ndo fasheni mpya!!
Mzee Kaizer kuna wazee wawili watatu wana umri zaidi ya miaka 55 hivi nimewaona wanaacha familia wanaenda kuoa watoto wabichii,sasa sijui ndo fasheni mpya!!
Nimeshuhudia hilo uswazi kwetu,Bora awe na mmoja basi ijulikane moja kuwa bi mkubwa kachoka mzee katafuta pumziko lakini sivyo,Leo ana huyu kesho Yule.
Watoto wanasimuliwa tu na wenzao mtaani.
Ni aibu kwa kweli.
Mzee Kaizer kuna wazee wawili watatu wana umri zaidi ya miaka 55 hivi nimewaona wanaacha familia wanaenda kuoa watoto wabichii,sasa sijui ndo fasheni mpya!!