MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
JUSTIN KALIKAWE, Aliwahi kusema hivi:
Litizamwe upya tatizo la ajira kwa ajira kwa vijana, Kwani sasa limekuwa la muda mrefu na sasa limezua kasheshe kwenye jamii yetu, Kasheshe yenyewe ni Wamachinga, kuhangaika mitaani, kupambana na vyombo na vyombo vya dola. Laiti pembejeo za kilimo zingepatikana kirahisi kuna maeneo maeneo mengi na vijana tungefanya kilimo, Laiti Michezo ingepewa kipaumbele wako vijana shupavu ambao wangehimili vishindo!
Nani apendaye kuhangaika mchana mchana kutwa, kutembea maeneo yote ya mjini kutafuta riziki? Sababu ya msukumo wa maisha ya sasa?
NB: Hivi Majuzi hapa Arusha tulishuhudia Wamachinga wakivunjiwa vibanda vyao na manispaa ya jiji la Arusha.
Mh.Edward Lowassa aliwahi kusema kuwa VIJANA KUTOKUWA NA AJIRA NI BOMU LINALOSUBIRIWA KULIPUKA!
Litizamwe upya tatizo la ajira kwa ajira kwa vijana, Kwani sasa limekuwa la muda mrefu na sasa limezua kasheshe kwenye jamii yetu, Kasheshe yenyewe ni Wamachinga, kuhangaika mitaani, kupambana na vyombo na vyombo vya dola. Laiti pembejeo za kilimo zingepatikana kirahisi kuna maeneo maeneo mengi na vijana tungefanya kilimo, Laiti Michezo ingepewa kipaumbele wako vijana shupavu ambao wangehimili vishindo!
Nani apendaye kuhangaika mchana mchana kutwa, kutembea maeneo yote ya mjini kutafuta riziki? Sababu ya msukumo wa maisha ya sasa?
NB: Hivi Majuzi hapa Arusha tulishuhudia Wamachinga wakivunjiwa vibanda vyao na manispaa ya jiji la Arusha.
Mh.Edward Lowassa aliwahi kusema kuwa VIJANA KUTOKUWA NA AJIRA NI BOMU LINALOSUBIRIWA KULIPUKA!