Litambue Baraza la Mawaziri mwaka 2023 na Majimbo yao

MHE. SAMIA SULUHU HASSAN​

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MHE. DKT. PHILIP ISDOR MPANGO​

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI​

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi

MHE. KASSIM MAJALIWA MAJALIWA - Jimbo la Ruangwa - Lindi

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MHE. KAPT GEORGE HURUMA MKUCHIKA - Jimbo la Newala Mtwara

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Kazi Maalum)

MHE. JENISTA J. MHAGAMA - Jimbo la Peramiho Ruvuma

Waziri wa Nchi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA - Jimbo la Karagwe Kagera

Waziri wa Ulinzi

MHE. ANGELLAH J. KAIRUKI - Wa kuteuliwa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)

MHE. SELEMAN S. JAFO - Jimbo la Kisarawe Pwani

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)

MHE. PROF. JOYCE L. NDALICHAKO - Jimbo la Kasulu Mjini Kigoma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu)

MHE. GEORGE B. M. SIMBACHAWENE - Jimbo la Kibakwe Dodoma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)

MHE. PROF. MAKAME M. MBARAWA - Jimbo la Mkoani Pemba Kusini

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi

MHE. UMMY A. MWALIMU - Tanga Mjini Tanga

Waziri wa Afya

MHE. DKT. MWIGULU N. MADELU - Iramba Magharibi Singida

Waziri wa Fedha na Mipango

MHE. MHANDISI HAMAD Y. MASAUNI - Jimbo la Kikwajuni Mjini Magharibi

Waziri wa Mambo ya Ndani

MHE. DKT. STERGOMENA LAWRENCE TAX - Kuteuliwa

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

MHE. HUSSEIN BASHE - Jimbo la Nzega Mjini Tabora

Waziri wa Kilimo

Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko -Jimbo la Bukombe Geita

Minister Of Minerals

MHE. PROF. ADOLF. F. MKENDA - Jimbo la Rombo Kilimanjaro

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia

MHE. NAPE M. NNAUYE - Jimbo la Mtama Lindi

Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

MHE. JANUARI Y. MAKAMBA - Jimbo la Bumbuli Tanga

Waziri wa Nishati

Mhe. Dkt. Angeline Sylvester Lubala Mabula - Jimbo la Ilemela Mwanza

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

MHE. DKT. DAMS D. NDUMBARO - Jimbo la Songea Mjini Ruvuma

Waziri wa Sheria na Katiba

MHE. DKT. DOROTHY O. GWAJIMA - Kuteuliwa

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

MHE. DKT. ASHATU K. KIJAJI - Jimbo la Kondoa Dodoma

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara

MHE. JUMA H. AWESO - Jimbo la Pangani Tanga

Waziri wa Maji

MHE. DKT. PINDI H. CHANA - Viti maalumu

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo

MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA - Jimbo la Rufiji Pwani

Waziri wa Maliasili na Utalii

Abdala Ulega
 
Kuna manaibu waziri wanatoka ktk hiyo mikoa.

Kumbuka kuwa kuna mikoa mingi kuliko idadi ya mawaziri

Hapana sio kweli
Kuna mikoa imepata mawaziri kamili watatu,mfano Pwani

Na kama haitoshi Pwani ipata pia Naibu Waziri,this is insane.

Rais anatakiwa a balance hizi nafasi,mkiwa na mawaziri wengi na kama wana akili mkoa unapiga hatua haraka
 
Tanzania tuwe na kanuni maalumu ya kugawa rasilimali za Nchi kwenye maeneo badala ya kutegemea ushawishi wa Waziri au Katibu Mkuu,hii mbaya sana.
 
Back
Top Bottom