much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 7,523
- 10,321
Tatizo wanachagua wabunge wasio jua kusoma na kuandikaNjombe mnaye Waziri?!
Tatizo wanachagua wabunge wasio jua kusoma na kuandikaNjombe mnaye Waziri?!
Kuna manaibu waziri wanatoka ktk hiyo mikoa.Rukwa 0
Katavi 0
Arusha 0
Kilimanjaro 0
Manyara 0
Simiyu 0
Shinyanga 0
Mbeya 0
Songwe 0
Kazi iendelee.
Ukihesabu na Manaibu Pwani inaweza kichukua kikombe.Mkoa wenye mawaziri wengi ni mkoa wa Tanga wapo mawaziri watatu.
Jamani mbeya si mna spika wa bunge mnataka nini tenaRukwa 0
Katavi 0
Arusha 0
Kilimanjaro 0
Manyara 0
Simiyu 0
Shinyanga 0
Mbeya 0
Songwe 0
Kazi iendelee.
Mara zeroRukwa 0
Katavi 0
Arusha 0
Kilimanjaro 0
Manyara 0
Simiyu 0
Shinyanga 0
Mbeya 0
Songwe 0
Kazi iendelee.
Kairuki ni mpare KilimanjaroKilimanjaro si ndio mkenda
Arusha yupo Angela kariuk
USSR
Ni utaratibu wetu sisi CCM angalau kila Mikoa upate Waziri hasa ile yenye muamko kisiasaKagera vipi? Kinachotakiwa siyo ukanda bali utendaji wa mtu.
Ujinga ni mzigo kichwani mwako,MtangulIzi wake ilikuwa Kanda Moja tu, tena mikoa minne.
Mwanza,Simiyu,Shinyanga na Geita
Hao wote mbona walikuwa mawaziri wake kasoro wanne tu: tax, pindi chana, mchengerwa na kijajiMtangulIzi wake ilikuwa Kanda Moja tu, tena mikoa minne.
Mwanza,Simiyu,Shinyanga na Geita
Mama D, ni analysis tu za kawaida, usiwe na wasiwasi 🤣🤣
Kijaji alikuwa naibu waziri wa fedha.Hao wote mbona walikuwa mawaziri wake kasoro wanne tu: tax, pindi chana, mchengerwa na kijaji
MHE. SAMIA SULUHU HASSAN
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
MHE. DKT. PHILIP ISDOR MPANGO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
MHE. KASSIM MAJALIWA MAJALIWA - Jimbo la Ruangwa - Lindi
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
MHE. KAPT GEORGE HURUMA MKUCHIKA - Jimbo la Newala Mtwara
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Kazi Maalum)
MHE. JENISTA J. MHAGAMA - Jimbo la Peramiho Ruvuma
Waziri wa Nchi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA - Jimbo la Karagwe Kagera
Waziri wa Ulinzi
MHE. ANGELLAH J. KAIRUKI - Wa kuteuliwa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
MHE. SELEMAN S. JAFO - Jimbo la Kisarawe Pwani
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)
MHE. PROF. JOYCE L. NDALICHAKO - Jimbo la Kasulu Mjini Kigoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu)
MHE. GEORGE B. M. SIMBACHAWENE - Jimbo la Kibakwe Dodoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)
MHE. PROF. MAKAME M. MBARAWA - Jimbo la Mkoani Pemba Kusini
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi
MHE. UMMY A. MWALIMU - Tanga Mjini Tanga
Waziri wa Afya
MHE. DKT. MWIGULU N. MADELU - Iramba Magharibi Singida
Waziri wa Fedha na Mipango
MHE. MHANDISI HAMAD Y. MASAUNI - Jimbo la Kikwajuni Mjini Magharibi
Waziri wa Mambo ya Ndani
MHE. DKT. STERGOMENA LAWRENCE TAX - Kuteuliwa
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
MHE. HUSSEIN BASHE - Jimbo la Nzega Mjini Tabora
Waziri wa Kilimo
Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko -Jimbo la Bukombe Geita
Minister Of Minerals
MHE. PROF. ADOLF. F. MKENDA - Jimbo la Rombo Kilimanjaro
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia
MHE. NAPE M. NNAUYE - Jimbo la Mtama Lindi
Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
MHE. JANUARI Y. MAKAMBA - Jimbo la Bumbuli Tanga
Waziri wa Nishati
Mhe. Dkt. Angeline Sylvester Lubala Mabula - Jimbo la Ilemela Mwanza
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
MHE. DKT. DAMS D. NDUMBARO - Jimbo la Songea Mjini Ruvuma
Waziri wa Sheria na Katiba
MHE. DKT. DOROTHY O. GWAJIMA - Kuteuliwa
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
MHE. DKT. ASHATU K. KIJAJI - Jimbo la Kondoa Dodoma
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara
MHE. JUMA H. AWESO - Jimbo la Pangani Tanga
Waziri wa Maji
MHE. DKT. PINDI H. CHANA - Viti maalumu
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo
MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA - Jimbo la Rufiji Pwani
Waziri wa Maliasili na Utalii
Maeneo mengine wamewakilishwa kwenye manaibu mawaziriRukwa 0
Katavi 0
Arusha 0
Kilimanjaro 0
Manyara 0
Simiyu 0
Shinyanga 0
Mbeya 0
Songwe 0
Kazi iendelee.
Huyo Profesa Adolf Mkenda si wa rombo au rombo iko mkoa gani kama siyo kilimanjaro?Rukwa 0
Katavi 0
Arusha 0
Kilimanjaro 0
Manyara 0
Simiyu 0
Shinyanga 0
Mbeya 0
Songwe 0
Kazi iendelee.
Waziri gani alitoka shinyanga?
Kuna manaibu waziri wanatoka ktk hiyo mikoa.
Kumbuka kuwa kuna mikoa mingi kuliko idadi ya mawaziri
Huyo Profesa Adolf Mkenda si wa rombo au rombo iko mkoa gani kama siyo kilimanjaro?