Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 19,675
- 59,776
- Thread starter
- #101
Naona watu wanaibadilisha taarifa yangu kuwa ugomvi.
Hizi habari za 50/50 ni mbayaHapana sio kweli
Kuna mikoa imepata mawaziri kamili watatu,mfano Pwani
Na kama haitoshi Pwani ipata pia Naibu Waziri,this is insane.
Rais anatakiwa a balance hizi nafasi,mkiwa na mawaziri wengi na kama wana akili mkoa unapiga hatua haraka