kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
- Thread starter
- #41
Wacheni kuyakwepa matatizo ya wananchi kwa kucompare na nchi jirani kama yamepanda kenya ndo uhalalishe kupanda tz?JAMBO LA AJABU KULIKO YOTE NI KWAMBA NILIJARIBU KUNUNUA MAFUTA KENYA CHA AJABU NDOO MOJA IMEFIKIA 87500/- BAADA YA KUIBADILISHA FEDHA YAO NA KUWA YA KITANZANIA,SASA TATIZO SIJUI LIPO WAPI ?MAANA YAMEPANDA EAST AFRICA YOTE.
*BEI YA NYAMA NI 6500-7000 SASA WEWE SIJUI IPO COMORO AU WAPI MAANA COMORO BEI NI 10000-15000