Lita ya mafuta ya kula imefika Tsh elfu 10. Rais Samia ajulishwe na aingilie kati

JAMBO LA AJABU KULIKO YOTE NI KWAMBA NILIJARIBU KUNUNUA MAFUTA KENYA CHA AJABU NDOO MOJA IMEFIKIA 87500/- BAADA YA KUIBADILISHA FEDHA YAO NA KUWA YA KITANZANIA,SASA TATIZO SIJUI LIPO WAPI ?MAANA YAMEPANDA EAST AFRICA YOTE.
*BEI YA NYAMA NI 6500-7000 SASA WEWE SIJUI IPO COMORO AU WAPI MAANA COMORO BEI NI 10000-15000
Wacheni kuyakwepa matatizo ya wananchi kwa kucompare na nchi jirani kama yamepanda kenya ndo uhalalishe kupanda tz?
 
Singida Lita ya Alizeti elfu 4 , Mbeya Lita elfu 6000 , Dom elfu 5000, Mwanza elfu 6000.
 
Ni muda sasa watu waanze kula vyakula visivyo na mafuta. Mbona kuna watu tunaishi bila kutumia mafuta hata miezi 6?Lwanza kiafya ni nzuri sana.Tupunguze vitambi na pressure aio mbaya.
Ila hawa wasioshusha bei za bia ndo wanaoniudhi☹😒
 
Jana nimenunua alizeti ya singida hapa Dar,5L kwa 29,000/= kwa mangi mmoja yuko hapo kimara.
 
Mwambieni mama yenu mheshimiwa Rais kuwa lita moja ya mafuta ya kupikia ya Alizeti imefika elfu 10

Mwambieni nyama kilo ni hadi elfu 10 kwa sasa

Imagine mafuta ya alizeti lita imefika elfu 10 haya mafuta mengine ya mgando sijui makorie ndo lita 6000

Na hayo makorie wengine huwa hatugusi kabisa tuna allergy kali sana tukila tu tukilala tunaamka tukiwa hoi mijipu mwili nzima kama mtu ana tetekuwanga hadi wife nimemkataza asinunue hayo makorie maana navimbaga balaa

Nyama ndo haigusiki sasa sijui ambao hawatomudu nyama inakuaje au mwenye mzazi alojifungua anayehitaji nyama kila siku inakuaje

Kweli huu mfumuko ni balaa mafuta lita elfu 10 shikamoo Samia Suluhu Hassan unaupiga mwingi haswa tatizo letu wabongo ni wasahaulifu hadi 2025 watakua washasahau haya madhira na watakupa kura tena hii nchi ngumu doh
Badala ya kulaumu nenda kapate tiba ya allergy yako, maana hapa ni kama unatukana wanaotumia mafuta ya Korie, kana kwamba sio watu.
 
Chifu Hang ya!!!

Nasema kazi iendelee!!! Akina mama oyeee! Wanawake oyeeee! Watu wenye jinsia kama ya wa vichokochoko oyeeeee!

Mwambieni mama yenu mheshimiwa Rais kuwa lita moja ya mafuta ya kupikia ya Alizeti imefika elfu 10

Mwambieni nyama kilo ni hadi elfu 10 kwa sasa

Imagine mafuta ya alizeti lita imefika elfu 10 haya mafuta mengine ya mgando sijui makorie ndo lita 6000

Na hayo makorie wengine huwa hatugusi kabisa tuna allergy kali sana tukila tu tukilala tunaamka tukiwa hoi mijipu mwili nzima kama mtu ana tetekuwanga hadi wife nimemkataza asinunue hayo makorie maana navimbaga balaa

Nyama ndo haigusiki sasa sijui ambao hawatomudu nyama inakuaje au mwenye mzazi alojifungua anayehitaji nyama kila siku inakuaje

Kweli huu mfumuko ni balaa mafuta lita elfu 10 shikamoo Samia Suluhu Hassan unaupiga mwingi haswa tatizo letu wabongo ni wasahaulifu hadi 2025 watakua washasahau haya madhira na watakupa kura tena hii nchi ngumu doh
 
Kama ni kweli hiyo bei itahamasisha wakulima kulima alizeti.
 
Mwambieni mama yenu mheshimiwa Rais kuwa lita moja ya mafuta ya kupikia ya Alizeti imefika elfu 10

Mwambieni nyama kilo ni hadi elfu 10 kwa sasa

Imagine mafuta ya alizeti lita imefika elfu 10 haya mafuta mengine ya mgando sijui makorie ndo lita 6000

Na hayo makorie wengine huwa hatugusi kabisa tuna allergy kali sana tukila tu tukilala tunaamka tukiwa hoi mijipu mwili nzima kama mtu ana tetekuwanga hadi wife nimemkataza asinunue hayo makorie maana navimbaga balaa

Nyama ndo haigusiki sasa sijui ambao hawatomudu nyama inakuaje au mwenye mzazi alojifungua anayehitaji nyama kila siku inakuaje

Kweli huu mfumuko ni balaa mafuta lita elfu 10 shikamoo Samia Suluhu Hassan unaupiga mwingi haswa tatizo letu wabongo ni wasahaulifu hadi 2025 watakua washasahau haya madhira na watakupa kura tena hii nchi ngumu doh
Umpigie kura usimpigie kura bado atatangazwa kuwa Rais tu, kura kuamua nani awe kiongozi mkuu wa nchi ni mpaka kuwe na "constitutional reform" ambayo pia alisema anajenga kwanza nchi...

Option ni
1. Kuidai katiba mpya kwa useriaz kabisa mpaka kura iwe na uwezo wa kuamua kiongozi mkuu wa nchi

2. Tuendelee kutulia na kuvumilia maamuzi yao dhidi ya walio wengi
 
Back
Top Bottom