Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,221
- 2,801
Mwambieni mama yenu mheshimiwa Rais kuwa lita moja ya mafuta ya kupikia ya Alizeti imefika elfu 10
Mwambieni nyama kilo ni hadi elfu 10 kwa sasa
Imagine mafuta ya alizeti lita imefika elfu 10 haya mafuta mengine ya mgando sijui makorie ndo lita 6000
Na hayo makorie wengine huwa hatugusi kabisa tuna allergy kali sana tukila tu tukilala tunaamka tukiwa hoi mijipu mwili nzima kama mtu ana tetekuwanga hadi wife nimemkataza asinunue hayo makorie maana navimbaga balaa
Nyama ndo haigusiki sasa sijui ambao hawatomudu nyama inakuaje au mwenye mzazi alojifungua anayehitaji nyama kila siku inakuaje
Kweli huu mfumuko ni balaa mafuta lita elfu 10 shikamoo Samia Suluhu Hassan unaupiga mwingi haswa tatizo letu wabongo ni wasahaulifu hadi 2025 watakua washasahau haya madhira na watakupa kura tena hii nchi ngumu doh
...Nyama pia ametoa hesabu siyo. Huku mbezi mwisho kwetu Nyama Kilo ni Alfu 8....japo haipo mbali sana na 10 !!We ni muongo Lita ya alizeti ni elfu 5 km unabisha njoo Pm uje na hela yako nikuletee mafuta acheni KUANDIKA habari za kusimuliwa
Badooo..Badoo..hadi ifike Lita Moja 50k ndiyo akili itatukaa SawaMwambieni mama yenu mheshimiwa Rais kuwa lita moja ya mafuta ya kupikia ya Alizeti imefika elfu 10
Mwambieni nyama kilo ni hadi elfu 10 kwa sasa
Imagine mafuta ya alizeti lita imefika elfu 10 haya mafuta mengine ya mgando sijui makorie ndo lita 6000
Na hayo makorie wengine huwa hatugusi kabisa tuna allergy kali sana tukila tu tukilala tunaamka tukiwa hoi mijipu mwili nzima kama mtu ana tetekuwanga hadi wife nimemkataza asinunue hayo makorie maana navimbaga balaa
Nyama ndo haigusiki sasa sijui ambao hawatomudu nyama inakuaje au mwenye mzazi alojifungua anayehitaji nyama kila siku inakuaje
Kweli huu mfumuko ni balaa mafuta lita elfu 10 shikamoo Samia Suluhu Hassan unaupiga mwingi haswa tatizo letu wabongo ni wasahaulifu hadi 2025 watakua washasahau haya madhira na watakupa kura tena hii nchi ngumu doh
Yeah serious problem, mafuta yanapanda Bei Kila kukicha yaan wapishi wakina mama wanatumia sana daah sasa hvi kutatokea na effect ya Bei ya vyakula vinavyo tumia mafuta haswa mtaani!!Mwambieni mama yenu mheshimiwa Rais kuwa lita moja ya mafuta ya kupikia ya Alizeti imefika elfu 10
Mwambieni nyama kilo ni hadi elfu 10 kwa sasa
Imagine mafuta ya alizeti lita imefika elfu 10 haya mafuta mengine ya mgando sijui makorie ndo lita 6000
Na hayo makorie wengine huwa hatugusi kabisa tuna allergy kali sana tukila tu tukilala tunaamka tukiwa hoi mijipu mwili nzima kama mtu ana tetekuwanga hadi wife nimemkataza asinunue hayo makorie maana navimbaga balaa
Nyama ndo haigusiki sasa sijui ambao hawatomudu nyama inakuaje au mwenye mzazi alojifungua anayehitaji nyama kila siku inakuaje
Kweli huu mfumuko ni balaa mafuta lita elfu 10 shikamoo Samia Suluhu Hassan unaupiga mwingi haswa tatizo letu wabongo ni wasahaulifu hadi 2025 watakua washasahau haya madhira na watakupa kura tena hii nchi ngumu doh
Sasa hii inatofauti gani na elf 10/L?
Kwa hizo 3ltrs ni kama whole sale au umepata discount kwa kununua kwa kipimo kikubwa
Hata lita ya korie ni zaidi ya hiyo 5000, lita 1 ya alizeti kwa Dar es salaam ni 8000.
Mkuu hapa umeongelea kwa mtanzania mwenye uwezo wa kununua hizo lita 20 kwa wakati mmoja, watanzania walio wengi hata lita moja tu kwa wakati mmoja ni shughuli pevu, ni mwendo wa vibaba....Tukizungumzia mfumuko wa bei tunajaribu kumgusa kila mwananchi.Kila mwaka mnaimba wimbo huo huo. Muwe mnanunua hata Lita 20 yakiwa kila Lita 4500 kwa matumizi ya Nyumbani maana hata ya kikaa mwaka huawa hayaozi
Lita 20 mwaka? Uko serious?Kila mwaka mnaimba wimbo huo huo. Muwe mnanunua hata Lita 20 yakiwa kila Lita 4500 kwa matumizi ya Nyumbani maana hata ya kikaa mwaka huawa hayaozi
Hamgusi lakini vya hotelini, canteen, chips vuruga, mnakula na kwenye magenge ambapo 100% ya mafuta wanayotumia ni hayo ambayo umesema hugusi..Mwambieni mama yenu mheshimiwa Rais kuwa lita moja ya mafuta ya kupikia ya Alizeti imefika elfu 10
Mwambieni nyama kilo ni hadi elfu 10 kwa sasa
Imagine mafuta ya alizeti lita imefika elfu 10 haya mafuta mengine ya mgando sijui makorie ndo lita 6000
Na hayo makorie wengine huwa hatugusi kabisa tuna allergy kali sana tukila tu tukilala tunaamka tukiwa hoi mijipu mwili nzima kama mtu ana tetekuwanga hadi wife nimemkataza asinunue hayo makorie maana navimbaga balaa
Nyama ndo haigusiki sasa sijui ambao hawatomudu nyama inakuaje au mwenye mzazi alojifungua anayehitaji nyama kila siku inakuaje
Kweli huu mfumuko ni balaa mafuta lita elfu 10 shikamoo Samia Suluhu Hassan unaupiga mwingi haswa tatizo letu wabongo ni wasahaulifu hadi 2025 watakua washasahau haya madhira na watakupa kura tena hii nchi ngumu doh
Bila wazee kula nyama usingezaliwa weweMnapenda nyama nyama tuuu vyakula unhealthy kwa nini msibadilike muwe mnakula mbogamboga na magimbi
Wapotoshaji Hawa, nadhani ile sheria ya mitandao ichukue nafasi yakeNakataa kabisa hapa tabora kilo ya nyama ni 6000 juzi nilikua Shinyanga bei ni hiyo hiyo, sasa we unaongea nini sijui