Lita ya mafuta ya kula imefika Tsh elfu 10. Rais Samia ajulishwe na aingilie kati

Mwambieni mama yenu mheshimiwa Rais kuwa lita moja ya mafuta ya kupikia ya Alizeti imefika elfu 10

Mwambieni nyama kilo ni hadi elfu 10 kwa sasa

Imagine mafuta ya alizeti lita imefika elfu 10 haya mafuta mengine ya mgando sijui makorie ndo lita 6000

Na hayo makorie wengine huwa hatugusi kabisa tuna allergy kali sana tukila tu tukilala tunaamka tukiwa hoi mijipu mwili nzima kama mtu ana tetekuwanga hadi wife nimemkataza asinunue hayo makorie maana navimbaga balaa

Nyama ndo haigusiki sasa sijui ambao hawatomudu nyama inakuaje au mwenye mzazi alojifungua anayehitaji nyama kila siku inakuaje

Kweli huu mfumuko ni balaa mafuta lita elfu 10 shikamoo Samia Suluhu Hassan unaupiga mwingi haswa tatizo letu wabongo ni wasahaulifu hadi 2025 watakua washasahau haya madhira na watakupa kura tena hii nchi ngumu doh

Huyo yuko busy na rais mwanamke ajaye 2025
 
Mafuta 5000/= kwa litre SINGIDA nashangaa mnasema 10000 itanibidi nianze kusafirisha mafuta to dar
 
We ni muongo Lita ya alizeti ni elfu 5 km unabisha njoo Pm uje na hela yako nikuletee mafuta acheni KUANDIKA habari za kusimuliwa
...Nyama pia ametoa hesabu siyo. Huku mbezi mwisho kwetu Nyama Kilo ni Alfu 8....japo haipo mbali sana na 10 !!
 
Mwambieni mama yenu mheshimiwa Rais kuwa lita moja ya mafuta ya kupikia ya Alizeti imefika elfu 10

Mwambieni nyama kilo ni hadi elfu 10 kwa sasa

Imagine mafuta ya alizeti lita imefika elfu 10 haya mafuta mengine ya mgando sijui makorie ndo lita 6000

Na hayo makorie wengine huwa hatugusi kabisa tuna allergy kali sana tukila tu tukilala tunaamka tukiwa hoi mijipu mwili nzima kama mtu ana tetekuwanga hadi wife nimemkataza asinunue hayo makorie maana navimbaga balaa

Nyama ndo haigusiki sasa sijui ambao hawatomudu nyama inakuaje au mwenye mzazi alojifungua anayehitaji nyama kila siku inakuaje

Kweli huu mfumuko ni balaa mafuta lita elfu 10 shikamoo Samia Suluhu Hassan unaupiga mwingi haswa tatizo letu wabongo ni wasahaulifu hadi 2025 watakua washasahau haya madhira na watakupa kura tena hii nchi ngumu doh
Badooo..Badoo..hadi ifike Lita Moja 50k ndiyo akili itatukaa Sawa
 
Mwambieni mama yenu mheshimiwa Rais kuwa lita moja ya mafuta ya kupikia ya Alizeti imefika elfu 10

Mwambieni nyama kilo ni hadi elfu 10 kwa sasa

Imagine mafuta ya alizeti lita imefika elfu 10 haya mafuta mengine ya mgando sijui makorie ndo lita 6000

Na hayo makorie wengine huwa hatugusi kabisa tuna allergy kali sana tukila tu tukilala tunaamka tukiwa hoi mijipu mwili nzima kama mtu ana tetekuwanga hadi wife nimemkataza asinunue hayo makorie maana navimbaga balaa

Nyama ndo haigusiki sasa sijui ambao hawatomudu nyama inakuaje au mwenye mzazi alojifungua anayehitaji nyama kila siku inakuaje

Kweli huu mfumuko ni balaa mafuta lita elfu 10 shikamoo Samia Suluhu Hassan unaupiga mwingi haswa tatizo letu wabongo ni wasahaulifu hadi 2025 watakua washasahau haya madhira na watakupa kura tena hii nchi ngumu doh
Yeah serious problem, mafuta yanapanda Bei Kila kukicha yaan wapishi wakina mama wanatumia sana daah sasa hvi kutatokea na effect ya Bei ya vyakula vinavyo tumia mafuta haswa mtaani!!
 
Kwanza bei ulitotaja sio halisi.
Kitu cha pili bei ya hizi bidhaa haipangi serikali soko ndio linaamua (supply and demand)
 
Kila mwaka mnaimba wimbo huo huo. Muwe mnanunua hata Lita 20 yakiwa kila Lita 4500 kwa matumizi ya Nyumbani maana hata ya kikaa mwaka huawa hayaozi
 
Kila mwaka mnaimba wimbo huo huo. Muwe mnanunua hata Lita 20 yakiwa kila Lita 4500 kwa matumizi ya Nyumbani maana hata ya kikaa mwaka huawa hayaozi
Mkuu hapa umeongelea kwa mtanzania mwenye uwezo wa kununua hizo lita 20 kwa wakati mmoja, watanzania walio wengi hata lita moja tu kwa wakati mmoja ni shughuli pevu, ni mwendo wa vibaba....Tukizungumzia mfumuko wa bei tunajaribu kumgusa kila mwananchi.
 
Mwambieni mama yenu mheshimiwa Rais kuwa lita moja ya mafuta ya kupikia ya Alizeti imefika elfu 10

Mwambieni nyama kilo ni hadi elfu 10 kwa sasa

Imagine mafuta ya alizeti lita imefika elfu 10 haya mafuta mengine ya mgando sijui makorie ndo lita 6000

Na hayo makorie wengine huwa hatugusi kabisa tuna allergy kali sana tukila tu tukilala tunaamka tukiwa hoi mijipu mwili nzima kama mtu ana tetekuwanga hadi wife nimemkataza asinunue hayo makorie maana navimbaga balaa

Nyama ndo haigusiki sasa sijui ambao hawatomudu nyama inakuaje au mwenye mzazi alojifungua anayehitaji nyama kila siku inakuaje

Kweli huu mfumuko ni balaa mafuta lita elfu 10 shikamoo Samia Suluhu Hassan unaupiga mwingi haswa tatizo letu wabongo ni wasahaulifu hadi 2025 watakua washasahau haya madhira na watakupa kura tena hii nchi ngumu doh
Hamgusi lakini vya hotelini, canteen, chips vuruga, mnakula na kwenye magenge ambapo 100% ya mafuta wanayotumia ni hayo ambayo umesema hugusi..
 
Aliye haribu soko la mafuta ni raisi wa awamu ya tano baada ya uzuia vibali vya kuingiza mafuta ya kupikia kutoka nje bila kufikiria madhara yake. Nakumbuka hata sukari alifanya hivyo hivyo na kwasababu sukari inauzwa kupitia mfumo maalum ndo maana waliweza kudhibiti lakini kwa mafuta ningumu soko ndo litaamua au labda waagize kutoka nje ili yaje ya neutralize bei iliyopo.
 
Back
Top Bottom