Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,603
- 52,318
Korie lita 18 ni shilingi 90,000 hiyo alizeti ya lita elfu 5 iko wapi.We ni muongo Lita ya alizeti ni elfu 5 km unabisha njoo Pm uje na hela yako nikuletee mafuta acheni KUANDIKA habari za kusimuliwa
Vile wamesema tunawapigia kelele tukomae tu.