min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,066
- 166,603
Duh kumbe hawa nyumbu wa kijani karibu wote nimewatupua ignore huko🤔nimekuelimisha imetosha kila mmoja ajue kiingereza chake
Duh kumbe hawa nyumbu wa kijani karibu wote nimewatupua ignore huko🤔nimekuelimisha imetosha kila mmoja ajue kiingereza chake
Eh mzungu Afrika mie sijui kingereza wewe unajua nini hadi sasa ili ujue hakuna ,jinga jinga tu hatukujui kama kijana tajiri Tanzania kijana aliyewasaidia watoo 200 kwenda shule kawanunulia madaftari hakunaga upo upo tu chenga wewe kukosoa watu na huku huna umarufu wowote.Dah kiingereza kilipobakwa."When is that date,if that I the case @mods please futa thread hii"
Matatizo ya kukurupuka.
Wacha kurukia visivyokuhusu.Hiyo ni dalili ya sonona.Kiswahili chenyewe kinakushinda kuandika kwa ufasaha.Eh mzungu Afrika mie sijui kingereza wewe unajua nini hadi sasa ili ujue hakuna ,jinga jinga tu hatukujui kama kijana tajiri Tanzania kijana aliyewasaidia watoo 200 kwenda shule kawanunulia madaftari hakunaga upo upo tu chenga wewe kukosoa watu na huku huna umarufu wowote.
DAhWacha kurukia visivyokuhusu.Hiyo ni dalili ya sonona.Kiswahili chenyewe kinakushinda kuandika kwa ufasaha.
Usishobekee visivyokuhusu.
Wewe ndio Retired?Au unashupalia usichokijua?Yeye kashajibu.Au umechanganya madesa?Umekuja kwenye thread yangu kunidhihaki ulizanieje
lissu anashitakiwa na wazanziber wakishinikiza mgao wa jasho laoNa ww uko jela nini? Leo kuna kesi gani ya Lisu?
Mnahasira sana kagroup kenu wengi mmeleft groupWewe ndio Retired?Au unashupalia usichokijua?Yeye kashajibu.Au umechanganya madesa?
Makhuluku Tabu ???! Au ???! 😳🙄😅🤷♂️!Kuna shida nyingine ni za kujitakia.
Ugonjwa wa kujitakia mtu hapewi pole!.