List ya watu 10 wenye IQ kubwa duniani

List ya watu 10 wenye IQ kubwa duniani

List ya watu 10 wenye IQ kubwa duniani

10smartest.jpg

mbona dr slaa hayupo mmmhaaaaaaa
 
ndio lazima kuwe na standard bila standard huwezi pima na standard zinawafavour wazungu tu.

mfano umetoa website ya kupima iq jamaa yupo vijijini ana edge, mwengine yupo new york ana 4g ile website inaangalia jinsi gani utajibu harakaharaka yale maswali bila kukosea. sasa huoni kama huyu mwenye edge tayari ana disadvantage?

maana wa edge akisubmit kitu kinaanza kuload sekunde kadhaa au hata dakika zitapotea wakati mwenye 4g hapo hapo fomu yake itapokelewa.

haiwezekan kupima akili ya mtu

Kuhusu swala la speed nadhani wanalifahamu na wanalizingatia ndio maana hata GMAIL wana uwezo wa ku detect kuwa internet speed yako ikiwa ndogo wanakupa option ya kuview kwa Basic HTML
 
kama mtu kaekwa ana iq kubwa kwa ajili ya chess, basi mimi nikieka standard ya akili ni kucheza gololi am sure kuna kitoto kimoja cha africa kitakua kwenye hio top 10, au nikieka bao kuna mzee mmoja nae atakuepo.

tuisanganyane hapa huwezi pima iq ya mtu yoyote duniani hakuna standard moja itakayoweza tumika kote duniani ikawa inatenda haki

Nakuunga mkono 100%.
cc: Kiranga & OLESAIDIMU.
 
Last edited by a moderator:
Ni kawaida ya wazungu kujipendelea....hata mlima Kilimanjaro MTU wa kwanza kuuona alikuwa Mzungu utafikiri wenyeji wali kuwa hawana macho
 
  • Thanks
Reactions: amu
Sijajua inahusianaje na Tech n Gadgets.
 
I.Q. (intelligence quotient) in general, is an assessment of your ability to think and reason

Kati ya vitu vinavyowasumbua wataalamu wa maswala ya akili ni pamoja na namna ubongo unavyofanya kazi.
So IQ is not just about "ability to think and reason".
By the way you cannot define "intelligence" with a clear concise statement.
 
Huyo aliyewapima IQ mbona hayupo?
Huu ni upuuzi mwingine.
Ila hata ingekuwa kweli Kiranga Hapaswi kuwemo. Mtu anayeamini kulikuwa hakuna kitu na hakuna kitu kilipasuka bila kisababishwa na bila sababu na mlipuko huo ukaleta maua na vipepeo, ana uwezo mfinyi wa kufikiri!
 
Last edited by a moderator:
Huyo aliyewapima IQ mbona hayupo?
Huu ni upuuzi mwingine.
Ila hata ingekuwa kweli Kiranga Hapaswi kuwemo. Mtu anayeamini kulikuwa hakuna kitu na hakuna kitu kilipasuka bila kisababishwa na bila sababu na mlipuko huo ukaleta maua na vipepeo, ana uwezo mfinyi wa kufikiri!

Wapi Kiranga kasema hivyo?

Tupe link hapa.

Ukishindwa mmbeya.
 
Last edited by a moderator:
Unaikana dini yako? ooh labda reactions ktk ubongo wako zime react vibaya. Ngoja nisubiri more randomness may be zitabahatika kukaa sawa

Mi sio wa Mbeya BTW
 
Mpaka itakapo patikana "pengine" mashine itakayokuwa na uwezo wakupima mtu wa umri, jinsia, jamii na wa elimu yoyote ndipo nitakapokubaliana na IQ grading.
Otherwise I am not buying it.

Hahahaha thats because you went to the link did the test and failed.....hahaha
 
Kama lemutuz hayupo basi hiyo list haijakamilika
 
Back
Top Bottom