yuclighty
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 676
- 325
Akuuu!!basi utakuwa mchepuko wangu humu jf.
Akuuu!!basi utakuwa mchepuko wangu humu jf.
hahahha hapana bamdogo sijaanza ushilawadu kwani nimeongea uongochizi wewe.
Mamdogo na wewe umeanza ushilawadu!
Mamdogo wewe ndiye wa kuitetea sister na wenzake wakashindwe kabisahahahha hapana bamdogo sijaanza ushilawadu kwani nimeongea uongo
NdioUmeupendaaa?
Akituchamba kimalikia tunamchamba kimasai, asitutanie kabisa. Bahati nzuri lugha yenyewe hatuijui kwahiyo walaa hatutaelewa na haitotuuma.hahahhah ujue tutachambwa yule mama ana kichambo halaf bora achambe kiswahili asee sio kichambo cha lugha ya malkia
Akipata mwingine sijui atatupangua au tutabaki hivi hivi!! Maana naweza jikuta mama yake ghafla.hahahahhah hakii kupatwa kwa ndg sijawahi ona
Na ndiyo maana nimewatafutia wifi wa kimalikia ili muishe manenoAkituchamba kimalikia tunamchamba kimasai, asitutanie kabisa. Bahati nzuri lugha yenyewe hatuijui kwahiyo walaa hatutaelewa na haitotuuma.
Akipata mwingine sijui atatupangua au tutabaki hivi hivi!! Maana naweza jikuta mama yake ghafla.




...utakuwa bibiHatuishi ng'oooo!! Na ole wake atuchambe. Tutapiga colabo na yule mzaramo wako yaani kichambo sio cha nchi hii. Bora atulie hivyo hivyo akulee ukue kue angalau ujitambue.Na ndiyo maana nimewatafutia wifi wa kimalikia ili muishe maneno
Bibi sitaki, ni either niwe mama,mwanao au dada baaaasi....utakuwa bibi
sawa bamdogo nitajitahidi kama nitawezaMamdogo wewe ndiye wa kuitetea sister na wenzake wakashindwe kabisa
Akituchamba kimalikia tunamchamba kimasai, asitutanie kabisa. Bahati nzuri lugha yenyewe hatuijui kwahiyo walaa hatutaelewa na haitotuuma.







hahahhaha lkn naona hawezi kutoka pale kaingia miguu yote miwiliAkipata mwingine sijui atatupangua au tutabaki hivi hivi!! Maana naweza jikuta mama yake ghafla.
Na ndiyo maana nimewatafutia wifi wa kimalikia ili muishe maneno





na kweli maneno yametuisha na anachamba yule mama alimpa husna makavu aisee mpk hurumaHatuishi ng'oooo!! Na ole wake atuchambe. Tutapiga colabo na yule mzaramo wako yaani kichambo sio cha nchi hii. Bora atulie hivyo hivyo akulee ukue kue angalau ujitambue.
hahahhaha lkn naona hawezi kutoka pale kaingia miguu yote miwili