List ya madem inanitesa

List ya madem inanitesa

Kweli wanafanya sensa yani mpaka utumbo unauma imenikumbusha mengi sana lkn nampenda men wangu na niko nae lkn inauma sana sana.


Nayanda
 
Jamani mke wangu haniamini kabsaaa. Nikienda ofisini nikachelewa kurudi anaamini nilikuwa kwa mademu. Nikichelewa ananifanyia suprise anakuja office bila taarifa ananikuta tena peke yangu, lakini bado haniamini. Hali hiyo imedumu kwa miaka mingi sana mpaka naona nimefika mwisho siwezi ivumilia. Issue inaanzania mbali kidogo, wakati bado sijamuoa aliwahi kunikuta na daftari la mshikaji wangu ambaye miandiko yetu inafanana. Hilo daftari jamaa alikuwa kaorodhesha mademu wote aliotembea nao. Sasa kulikuwa na column tatu NAMBA, JINA, na HALI. kwa mfano: NAMBA 1, JINA: Jenifa Kalalu, HALI: tight. Sasa idadi ilikuwa inafika 94 mpaka wakati huo. Wife anaamini list ilikuwa yangu, na kwenye list hiyo kulikuwa na majina ya watu wa karibu yake. Kila tukigombana ananitusi kuwa mie malaya sana na anauliza kuwa list yangu wamefika wangapi. Sasa mi naumia sana!! Ishu ya miaka kama 10 iliyopita halafu sio daftari langu lakini anafanya ndio reference kila tunapokwaruzana. Sasa sijui hata nimfanyeje??

provided hayana ukweli wowote,ni bora kumpuuzia tu as usual though sometime it pains alot
 
Usiwe na wasiwasi ndugu, uzuri ni kwamba na yeye kashaisoma hii post! atakua amekupata

Kama mkewe anasoma post za mumewe humu, itakuwa hatari maana kuna post humu ameelezea jinsi alivyokusudia kumcheat mkewe bahati nzuri akatolewa nje refer to post ya 'wanaume ukimwi utatumaliza'.
 
Mkuki kwa nguruwe daftar kwako lilifuata lini?au ww mwalimu wa rafiki yako ulikuwa unamsahihishia!!!dawa n kubadili tabia tu hamna njia nyingne!!!na sion cha kuumia ww km anakufuatilia na ww hufanyi hayo!!!ww mwache akufuatilie atachoka mwenywe atakaporidhika!!!
 
Da nimeipenda hiyo,full list hata mm nina diary yangu huwa naandika jina la demu tarehe nilo mpunyenye na mara ngap?patamu likikamatwa hapo!!!!!!!!!chezea mshishi ww,
 
Weye hilo daftari ulikuwa nalo la nini? Kuangalia katika list yake nani ambaye umempitia au hujampitia?

nashangaa daftari la juma awe nalo john, halafu juma wala asisaidie kusawazisha....na john alikuwa anafanya nalo nini hilo daftari? Halafu juma na john wamefanana miandiko? Mmmmh
 
  • Thanks
Reactions: BAK
...Umeona eeh! BT...

nashangaa daftari la juma awe nalo john, halafu juma wala asisaidie kusawazisha....na john alikuwa anafanya nalo nini hilo daftari? Halafu juma na john wamefanana miandiko? Mmmmh
 
Kama mkewe anasoma post za mumewe humu, itakuwa hatari maana kuna post humu ameelezea jinsi alivyokusudia kumcheat mkewe bahati nzuri akatolewa nje refer to post ya 'wanaume ukimwi utatumaliza'.
bora na wewe mkuu umeiona hiyo post aliyokuwa anataka kumla wawinda mitaa,,,,,hapa patakuwa na tatizo hapa.
 
duh!! jamaa mkareeeee, ten years ago alikuwa amepitia nyapu 94??? saizi atakuwa na 230 salute broda ppote ulipo
 
Kama mkewe anasoma post za mumewe humu, itakuwa hatari maana kuna post humu ameelezea jinsi alivyokusudia kumcheat mkewe bahati nzuri akatolewa nje refer to post ya 'wanaume ukimwi utatumaliza'.

JF mpaka sasa ina registered membership ya watu 100k, probability ya mme na mke kuwepo huku ni kubwa zaidi esp kwa wale watu wa office.
 
Ha ha du mi nimependa hiyo hizo kolumn haswa kipendele cha hali status
jamani kuna mambo mapenzini
mwaJ
Ciello
@caccico
LARA1
marejesho
Paloma
gfsonwin
snowhite embu mje huku muone mambo ya hali
teh teh mi yangu ingekuwa mtera

Duh! amu nilivyoona wito tu nikajua Natalia mutot ya fisadi kwisha shusha nondo za kimarekani! Kumbe khaaa, ni ya mdau mtunza daftari la hatari! Hata ingekuwa mie ningepata wasiwasi! Sijui huyo rafikie anatunza hizo kumbukumbu za nini?
 
Last edited by a moderator:
Hapo anakuweka busy ili usimfuatilie yeye.Atakuwa si mwaminifu huyo.Akili kichwani
 
Hahahahahahahaah duh Ndoa Ndoano wadau Penzi ni Km kipofu, mwenzenu kila tukirudi toka outing nasemwa tuu. eti shingo kila upande kutizama migongo ya kina dada, namwambia mama siwezi kata kona bila angalia kioo huzioni hizi boda boda zinazokatiza pande zote, kwani anaelewa basi!! akina mama jamani tumechoka sasa accusations
 
Yeye ndo sio mwaminifu. Mwizi humhofia kila mtu kwamba naye ni mwizi.Jikaze tu kaka angu.
No way!!!!!!!!!1
 
Hali ya kutojiamini ndio iliyomuingia mkeo.
Pili, onesha kuwa wewe ni mwanaume na uwe mkali, nina wasiwasi hadi kusutwa utakuwa wasutwa....
 
wanawake wasiokua na kazi za kufanya utawajua tu,mpe mtaji afanye biashara,badala ya kukufatilia wewe atafuatilia biashara yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom