List ya madem inanitesa

List ya madem inanitesa

Mwanangu ndandawamalenja list hiyo itakutesa hadi kufa. Wahenga walisema akutwaye na ngozi ndiye mwizi. Kwa vile uliweka ushahidi hata angekuwa nyuni angeamini ni wako. Kwanini kuweka ushahidi mwanangu wakati ukijua uta kuna siku vitatumika kukufungulia kesi? Sasa angalia unavyoangamia kwa mkono wako mwenyewe. Mie nadhani dawa siyo kuamsha mikono bali kutafuta jinsi ya kumwaminisha mkeo kuwa hutarudia ufuska huo. Vijana wa siku hizi mnazini kama vile hakuna kufa! Wanawake 94 wote wa nini? Unadhani unaweza kuwamaliza wote au kutosheka? Mtamaliza mabucha nyama ni ile ile.
 
Jamani mke wangu haniamini kabsaaa. Nikienda ofisini nikachelewa kurudi anaamini nilikuwa kwa mademu. Nikichelewa ananifanyia suprise anakuja office bila taarifa ananikuta tena peke yangu, lakini bado haniamini. Hali hiyo imedumu kwa miaka mingi sana mpaka naona nimefika mwisho siwezi ivumilia. Issue inaanzania mbali kidogo, wakati bado sijamuoa aliwahi kunikuta na daftari la mshikaji wangu ambaye miandiko yetu inafanana. Hilo daftari jamaa alikuwa kaorodhesha mademu wote aliotembea nao. Sasa kulikuwa na column tatu NAMBA, JINA, na HALI. kwa mfano: NAMBA 1, JINA: Jenifa Kalalu, HALI: tight. Sasa idadi ilikuwa inafika 94 mpaka wakati huo. Wife anaamini list ilikuwa yangu, na kwenye list hiyo kulikuwa na majina ya watu wa karibu yake. Kila tukigombana ananitusi kuwa mie malaya sana na anauliza kuwa list yangu wamefika wangapi. Sasa mi naumia sana!! Ishu ya miaka kama 10 iliyopita halafu sio daftari langu lakini anafanya ndio reference kila tunapokwaruzana. Sasa sijui hata nimfanyeje??
Hakuna kitu nachukia kama huo ujinga wa kuweka record za wanawake, wewe ulikuwa nalo la nini, you were also interested, ni ujinga uliopitiliza.
 
kwani wewe ulikuwa unamtumzia hilo daftari kwani we ni library au mtunza majarada? Hacha hizo jishushe mwombe radhi mkeo atatulia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom