The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,959
- 13,429
Mwanangu ndandawamalenja list hiyo itakutesa hadi kufa. Wahenga walisema akutwaye na ngozi ndiye mwizi. Kwa vile uliweka ushahidi hata angekuwa nyuni angeamini ni wako. Kwanini kuweka ushahidi mwanangu wakati ukijua uta kuna siku vitatumika kukufungulia kesi? Sasa angalia unavyoangamia kwa mkono wako mwenyewe. Mie nadhani dawa siyo kuamsha mikono bali kutafuta jinsi ya kumwaminisha mkeo kuwa hutarudia ufuska huo. Vijana wa siku hizi mnazini kama vile hakuna kufa! Wanawake 94 wote wa nini? Unadhani unaweza kuwamaliza wote au kutosheka? Mtamaliza mabucha nyama ni ile ile.