Elections 2010 List ya ma rais waliohudhuria kuapishwa kwa kikwete

marshal

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
353
155
  1. robert mugabe- zimbabwe
  2. joseph kabila- drc
  3. mwai kibaki - kenya
  4. rupia banda- zambia
  5. jacob zuma- south africa
wana jf tengenezeni similarity equation ya hawa viongozi waliohudhuria.i guess there is a clear view
 

GeniusBrain

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
4,319
306
  1. robert mugabe- zimbabwe
  2. joseph kabila- drc
  3. mwai kibaki - kenya
  4. rupia banda- zambia
  5. jacob zuma- south africa
wana jf tengenezeni similarity equation ya hawa viongozi waliohudhuria.i guess there is a clear view

Wote hao ni marais makini na wanao jua vizuri bara hili la africa. Na tena wengine hapo ni PAN-AFRICA
 

PakaJimmy

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
16,207
8,692
  1. robert mugabe- zimbabwe
  2. joseph kabila- drc
  3. mwai kibaki - kenya
  4. rupia banda- zambia
  5. jacob zuma- south africa
wana jf tengenezeni similarity equation ya hawa viongozi waliohudhuria.i guess there is a clear view
Similarity ya kwanza ni kwamba wote wamekosa mambo YA MUHIMU(pressing) ya kufanya nyumbani kwao( kama wenzao waliotuma wawakilishi) ndio maana wamekuja hapa!
 

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
49,287
67,659
Hao waliohudhuria ni madikteta watupu, isipokuwa JZEE, Jacob zuma yeye amekuja kuangalia kama anaweza kupata demu wa kibongo, kwahiyo kaja kingono zaidi. by the matokeo yametangazwa jana jioni, hawa huo mwaliko walipelekewa lini? au kwa kuwa chakachwa ilishaandaliwa, basi hata wageni walishaalikwa wiki moja kabla? MSAADA TUTANI:nono:
 

The Dreamer

JF-Expert Member
Feb 2, 2009
1,282
20
ukiachia mzee wa totos kutoka bondeni (SA) waliobaki ni wachakachuaji maarufu barani Africa
 

EMT

Platinum Member
Jan 13, 2010
14,485
15,228
  1. robert mugabe- zimbabwe
  2. joseph kabila- drc
  3. mwai kibaki - kenya
  4. rupia banda- zambia
  5. jacob zuma- south africa
wana jf tengenezeni similarity equation ya hawa viongozi waliohudhuria.i guess there is a clear view

Hata wa msumbiji hakuja leo. Na mseveni hakuwepo?
 

Facts1

JF-Expert Member
Dec 23, 2009
307
28
  1. robert mugabe- zimbabwe
  2. joseph kabila- drc
  3. mwai kibaki - kenya
  4. rupia banda- zambia
  5. jacob zuma- south africa
wana jf tengenezeni similarity equation ya hawa viongozi waliohudhuria.i guess there is a clear view

Mugabe- Dikteta (data is given)
JKabila- aliingia kwa mtutu wa bunduki
Kibaki- ailiingia kwa damu ya kuchinja
Banda- yeye kaja kuangalia kama zile mbinu alizotupa kama zimefanikiwa
Zuma- kaja kuangalia kama lile kontena lilifika salama lakini nasikia kaambiwa wenye nchi waligangamara ndiyo maana kura zimekuwa kiduchu.
 

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
14,423
12,861
wamekuja kuangalai kama tanzania bado ina zile fikra za utu na uwazi akama enzi za mwalimu.
naamini kwenye utalii wao huu watagundua kitu ambacho kitawapa funzo kubwa.....

Afrika ina safari ndefu sana ktk kuwajali na kusikiliza pamoja na kuheshimu sauti za watu wake.

ah!
 

Wun

JF-Expert Member
Jun 16, 2008
358
72
UTAKUWA BWABWA ( BWABWA NDIO UBWABWA AU ?) WEWE naumetumwa ( MBONA BOSS WAKO ANAKUTUMA MPAKA KUFUA CHU..PI YAKE SIO WEWE) na utakufa ( WEWE HUFIIII? KUMBE NI SHETANI SIO BINADAMU WEWE) ukiwa mtumwa (WEWE UKIWA KIKARAGOSI) Ms...nge wew (HA HA KUMBE NDIO KAZI YAKO YULE MUHINDI ANAVYOKUPAKUA, POLEEE MTOTO SIO RIZKI)
Vipi wakuu hapa siyo sehemu yake...
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom