nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Nani kasahau shangwe alilopigiwa Robert Mugabe 2005 kwenye sherehe za kuapishwa Rais kikwete kwenye uwanja wa shamba la bibi?ilikuwa ni balaa,kwa mujibu wa ufahamu wetu wakati huo ilikuwa ni kwamba Mugabe ni mkombozi wa weusi wa zimbabwe anapambana na mabeberu na kachukua mashamba yao kawapa wanyonge na kwamba yanayosemwa na IMF na world bank ni propaganda tu za mabeberu.
Nakumbuka mwaka 2004 nikiwa katika harakati za ku hustle huko enfield north london nilipata temporary job moja ya catering kupitia Reed employment kwenda kuhudumia katika mbio za farasi ziitwazo Royal ascot
Kwenye van tulikuwa waafrika watupu ikaja topic ya mugabe katika mazungumzo mimi nikawa kimbelembele kumsifia,aisee gari ilkuwa nusu ni wazimbabwe wakitaka wanigawane kwa hasira hadi dereva mturuki akasimamisha gari na kutaka kunishusha nakumbuka niliomba radhi na kuongezea neno la kiarabu kiswahili TAFADHALI akaishia tu kucheka tukaendelea na safari kwenda mzigoni lakini tulipofika mama mmoja wa kizimbabwe akanisihi nisiamini propaganda za Mugabe na kuniambia hali ya raia ilikuwa mbaya waliokuwa wanafaidika ni wapambe wake tu
MORAL OF THIS STORY IS:nimeshangaa sana kuona wa ccm wakipigia kelele clip eti magufuli kashangaliwa South africa anakubalika,For God sake kila Rais aliyeshuka alishangiliwa hadi dikteta museveni alipigiwa shangwe,kama ni shangwe basi makofi aliyopigiwa kikwete kwa hotuba yake kali siku ya kuaga mwili wa mandela yalikuwa na maana kubwa zaidi
KAMA 2005 TULIMSHANGILIA MUGABE tukidhani anapambana na mabeberu kumbe nyumbani kumeoza wapambe wake wakitajirika na maskini hali kuwa mbaya cha kushangaza ma dikteta wakishangiliwa huko nje ni nini?
Hakuna mtu mjanja kama Kagame kwa kutumia baadhi ya waandishi kutengeneza imgae yake kimataifa ,kwa huyu wetu ni rahisi sana mtu aliyeko malawi aus south africa kusoma kwamba Rais wa Tanzania anatunishiana misuli na wazungu wa madini wakaona ni mzalendo kumbe hawajui hali halisi ya raia mtaani na hela zinavyopigwa kibabe plus haki za kiraia kuminywa,kama majirani tu kenya walibabaika na zile mbwembwe za kusafisha soko,kutembea kwa miguu kwenda BOT ,kubana matumizi kwa kuzuia sherehe hadi wakaanza kuomba akatawale kwao sembuse hao wa kusini?
NYONGEZA:mika hiyo ya 2005 hadi msanii wa bongo fleva Crazy GK alitoa nyimbo inaitwa simba wa afrika eti Mugabe naye akasifiwa huko ndani ni simba wa Afrika
AMA KWA HAKIKA USILOLIJUA NI USIKU WA GIZA.
Nakumbuka mwaka 2004 nikiwa katika harakati za ku hustle huko enfield north london nilipata temporary job moja ya catering kupitia Reed employment kwenda kuhudumia katika mbio za farasi ziitwazo Royal ascot
Kwenye van tulikuwa waafrika watupu ikaja topic ya mugabe katika mazungumzo mimi nikawa kimbelembele kumsifia,aisee gari ilkuwa nusu ni wazimbabwe wakitaka wanigawane kwa hasira hadi dereva mturuki akasimamisha gari na kutaka kunishusha nakumbuka niliomba radhi na kuongezea neno la kiarabu kiswahili TAFADHALI akaishia tu kucheka tukaendelea na safari kwenda mzigoni lakini tulipofika mama mmoja wa kizimbabwe akanisihi nisiamini propaganda za Mugabe na kuniambia hali ya raia ilikuwa mbaya waliokuwa wanafaidika ni wapambe wake tu
MORAL OF THIS STORY IS:nimeshangaa sana kuona wa ccm wakipigia kelele clip eti magufuli kashangaliwa South africa anakubalika,For God sake kila Rais aliyeshuka alishangiliwa hadi dikteta museveni alipigiwa shangwe,kama ni shangwe basi makofi aliyopigiwa kikwete kwa hotuba yake kali siku ya kuaga mwili wa mandela yalikuwa na maana kubwa zaidi
KAMA 2005 TULIMSHANGILIA MUGABE tukidhani anapambana na mabeberu kumbe nyumbani kumeoza wapambe wake wakitajirika na maskini hali kuwa mbaya cha kushangaza ma dikteta wakishangiliwa huko nje ni nini?
Hakuna mtu mjanja kama Kagame kwa kutumia baadhi ya waandishi kutengeneza imgae yake kimataifa ,kwa huyu wetu ni rahisi sana mtu aliyeko malawi aus south africa kusoma kwamba Rais wa Tanzania anatunishiana misuli na wazungu wa madini wakaona ni mzalendo kumbe hawajui hali halisi ya raia mtaani na hela zinavyopigwa kibabe plus haki za kiraia kuminywa,kama majirani tu kenya walibabaika na zile mbwembwe za kusafisha soko,kutembea kwa miguu kwenda BOT ,kubana matumizi kwa kuzuia sherehe hadi wakaanza kuomba akatawale kwao sembuse hao wa kusini?
NYONGEZA:mika hiyo ya 2005 hadi msanii wa bongo fleva Crazy GK alitoa nyimbo inaitwa simba wa afrika eti Mugabe naye akasifiwa huko ndani ni simba wa Afrika
AMA KWA HAKIKA USILOLIJUA NI USIKU WA GIZA.