Lissu: Waziri Mkuu azindua Kituo cha Afya kilichojengwa na wezi wetu Acacia

General Mangi

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
15,301
23,024


Anaandika Tundu Lissu katika ukurasa wake wa Instagram:-

Naona Waziri Mkuu Majaliwa anazindua Kituo cha Afya kilichojengwa kwa ufadhili wa Acacia Mining Ltd. .

Mwaka jana tuliambiwa na Rais Magufuli kwamba Acacia walikuwa wezi, wanaendesha Migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi bila leseni, hawajasajiliwa na BRELA na wamekwepa kodi ya TAS trilioni 495, n.k. Leo Waziri Mkuu anafungua Kituo cha Afya kilichojengwa na Acacia. .

Nilisema bungeni mwaka jana kwamba Magufuli na watu wake wanatudanganya; kuwa Ripoti za Maprofesa Mruma na Osoro ni 'professorial rubbish', kwamba hawa wachimba dhahabu hawatatulipa chochote tunachoambiwa tunawadai. .

Leo nani anayeweza kusema hatukudanganywa na Magufuli. Badala ya trilioni 495 ni Kituo cha Afya. Na Magufuli atuambie makinikia yaliyokuwa yanashikiliwa bandarini kwa amri yake yako wapi na kama yamelipiwa ushuru aliosema tutalipwa!!!
 
Naona Waziri Mkuu Majaliwa anazindua Kituo cha Afya kilichojengwa kwa ufadhili wa Acacia Mining Ltd. .

Mwaka jana tuliambiwa na Rais Magufuli kwamba Acacia walikuwa wezi, wanaendesha Migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi bila leseni, hawajasajiliwa na BRELA na wamekwepa kodi ya TAS trilioni 495, n.k. Leo Waziri Mkuu anafungua Kituo cha Afya kilichojengwa na Acacia. .

Nilisema bungeni mwaka jana kwamba Magufuli na watu wake wanatudanganya; kuwa Ripoti za Maprofesa Mruma na Osoro ni 'professorial rubbish', kwamba hawa wachimba dhahabu hawatatulipa chochote tunachoambiwa tunawadai. .

Leo nani anayeweza kusema hatukudanganywa na Magufuli. Badala ya trilioni 495 ni Kituo cha Afya. Na Magufuli atuambie makinikia yaliyokuwa yanashikiliwa bandarini kwa amri yake yako wapi na kama yamelipiwa ushuru aliosema tutalipwa!!!View attachment 810628




Binafsi nashindwa kuona uhusiano wa alichokiandika Tundu Lisu na matatizo ya acacia ya kutokulipia deni!

Nafikiri Tundu Lisu haelewi tofauti ya correlation na causation!
 
Magufuli wenda ana nia nzuri ila ni lazima tukubali URAIS NI KIATU KIKUBWA SANA KWAKE.

Alistahili kuwa waziri mkuu, hana kaliba ya uongozi.

Haya juzi katoa maneno yasiyo na kichwa wala miguu kuhusu wafungwa, bado tuna hili la makinikia ambalo mpaka leo hatujui hatima yake... Mkurupukaji na asipangilia mambo...
 
Huyu lissu na washabiki wake akili zao nadhani zipo kwenye makalio!! Kwani Acacia hawawezi kujirekebisha baada ya sekeseke lao na serikali? So lissu alitegemea baada ya acacia kuambiwa ni wezi basi wangerespond kwa kuleta vifaru kupigana na tz??!! Pumbavu kabisa!! Lisu badilika, fikiri nje ya box.
 


Anaandika Tundu Lissu katika ukurasa wake wa Instagram:-

Naona Waziri Mkuu Majaliwa anazindua Kituo cha Afya kilichojengwa kwa ufadhili wa Acacia Mining Ltd. .

Mwaka jana tuliambiwa na Rais Magufuli kwamba Acacia walikuwa wezi, wanaendesha Migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi bila leseni, hawajasajiliwa na BRELA na wamekwepa kodi ya TAS trilioni 495, n.k. Leo Waziri Mkuu anafungua Kituo cha Afya kilichojengwa na Acacia. .

Nilisema bungeni mwaka jana kwamba Magufuli na watu wake wanatudanganya; kuwa Ripoti za Maprofesa Mruma na Osoro ni 'professorial rubbish', kwamba hawa wachimba dhahabu hawatatulipa chochote tunachoambiwa tunawadai. .

Leo nani anayeweza kusema hatukudanganywa na Magufuli. Badala ya trilioni 495 ni Kituo cha Afya. Na Magufuli atuambie makinikia yaliyokuwa yanashikiliwa bandarini kwa amri yake yako wapi na kama yamelipiwa ushuru aliosema tutalipwa!!!

Mungu mbariki Tundu Lissu
 
Huyu lissu na washabiki wake akili zao nadhani zipo kwenye makalio!! Kwani Acacia hawawezi kujirekebisha baada ya sekeseke lao na serikali? So lissu alitegemea baada ya acacia kuambiwa ni wezi basi wangerespond kwa kuleta vifaru kupigana na tz??!! Pumbavu kabisa!! Lisu badilika, fikiri nje ya box.
Yale makinikia ya bandarini bado yapo ?
 


Anaandika Tundu Lissu katika ukurasa wake wa Instagram:-

Naona Waziri Mkuu Majaliwa anazindua Kituo cha Afya kilichojengwa kwa ufadhili wa Acacia Mining Ltd. .

Mwaka jana tuliambiwa na Rais Magufuli kwamba Acacia walikuwa wezi, wanaendesha Migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi bila leseni, hawajasajiliwa na BRELA na wamekwepa kodi ya TAS trilioni 495, n.k. Leo Waziri Mkuu anafungua Kituo cha Afya kilichojengwa na Acacia. .

Nilisema bungeni mwaka jana kwamba Magufuli na watu wake wanatudanganya; kuwa Ripoti za Maprofesa Mruma na Osoro ni 'professorial rubbish', kwamba hawa wachimba dhahabu hawatatulipa chochote tunachoambiwa tunawadai. .

Leo nani anayeweza kusema hatukudanganywa na Magufuli. Badala ya trilioni 495 ni Kituo cha Afya. Na Magufuli atuambie makinikia yaliyokuwa yanashikiliwa bandarini kwa amri yake yako wapi na kama yamelipiwa ushuru aliosema tutalipwa!!!

Makinikia bado yapo!
 


Anaandika Tundu Lissu katika ukurasa wake wa Instagram:-

Naona Waziri Mkuu Majaliwa anazindua Kituo cha Afya kilichojengwa kwa ufadhili wa Acacia Mining Ltd. .

Mwaka jana tuliambiwa na Rais Magufuli kwamba Acacia walikuwa wezi, wanaendesha Migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi bila leseni, hawajasajiliwa na BRELA na wamekwepa kodi ya TAS trilioni 495, n.k. Leo Waziri Mkuu anafungua Kituo cha Afya kilichojengwa na Acacia. .

Nilisema bungeni mwaka jana kwamba Magufuli na watu wake wanatudanganya; kuwa Ripoti za Maprofesa Mruma na Osoro ni 'professorial rubbish', kwamba hawa wachimba dhahabu hawatatulipa chochote tunachoambiwa tunawadai. .

Leo nani anayeweza kusema hatukudanganywa na Magufuli. Badala ya trilioni 495 ni Kituo cha Afya. Na Magufuli atuambie makinikia yaliyokuwa yanashikiliwa bandarini kwa amri yake yako wapi na kama yamelipiwa ushuru aliosema tutalipwa!!!



Anaandika Tundu Lissu katika ukurasa wake wa Instagram:-

Naona Waziri Mkuu Majaliwa anazindua Kituo cha Afya kilichojengwa kwa ufadhili wa Acacia Mining Ltd. .

Mwaka jana tuliambiwa na Rais Magufuli kwamba Acacia walikuwa wezi, wanaendesha Migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi bila leseni, hawajasajiliwa na BRELA na wamekwepa kodi ya TAS trilioni 495, n.k. Leo Waziri Mkuu anafungua Kituo cha Afya kilichojengwa na Acacia. .

Nilisema bungeni mwaka jana kwamba Magufuli na watu wake wanatudanganya; kuwa Ripoti za Maprofesa Mruma na Osoro ni 'professorial rubbish', kwamba hawa wachimba dhahabu hawatatulipa chochote tunachoambiwa tunawadai. .

Leo nani anayeweza kusema hatukudanganywa na Magufuli. Badala ya trilioni 495 ni Kituo cha Afya. Na Magufuli atuambie makinikia yaliyokuwa yanashikiliwa bandarini kwa amri yake yako wapi na kama yamelipiwa ushuru aliosema tutalipwa!!!
Tundu Lisu ameishiwa hoja. Aendelee kufanya mazoezi na magongo yake tu ili angalau aweze kutembea kama kawaida.
 
Back
Top Bottom