mguu ndama
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 263
- 120
Inakera ndio maana lissu anakuwa mkali.We utaachaje dhahabu ipigwe we ung'ang'ane na mchanga? Inakera.Tena kule China hawakuachi unakula shaba.Sijasema usifu kitu kama unaona kina kasoro, nimesema ubakosoa kwa lugha ya staha. Hebu fikiri mfano wewe umefanya kazi yako kwa kutumia muda akili na resources nyingine, halafu unamaliza na kuwasilisha halafu anaibuka mtu mmoja anayeaminika kuwa msomi anakuambia what you did is total rubbish! Hahahaha, hatuendi hivyo aiseee, Lisu yuko vizuri ila kwa lugha hizi sio aisee, ajirekebishe