Lissu, wasomi duniani kote hawafanyi hivyo

Sijasema usifu kitu kama unaona kina kasoro, nimesema ubakosoa kwa lugha ya staha. Hebu fikiri mfano wewe umefanya kazi yako kwa kutumia muda akili na resources nyingine, halafu unamaliza na kuwasilisha halafu anaibuka mtu mmoja anayeaminika kuwa msomi anakuambia what you did is total rubbish! Hahahaha, hatuendi hivyo aiseee, Lisu yuko vizuri ila kwa lugha hizi sio aisee, ajirekebishe
Inakera ndio maana lissu anakuwa mkali.We utaachaje dhahabu ipigwe we ung'ang'ane na mchanga? Inakera.Tena kule China hawakuachi unakula shaba.
 
Ujue mara nyingi wapinzani wanakuwa na hoja nzuri tu kwenye mambo mbalimbali shida ni kutoa mawazo yao kwa jazba na lugha chafu. Mwishowe wanaharibu ladha yote ya hoja zao.

"Ripoti ya Mchanga it is Rubbish! Rubbish!" Lissu (2017).Ni mfano mmoja miongoni mwa mingi.

Hauwezi ukawakosoa wasomi wenzako kwa kutumia lugha za namna hii. Haikubaliki dunia nzima. Wasomi hukosoana kwa hoja lakini kwa lugha zenye staha. Mfano huwezi kumuambia mtafiti, mchunguzi, au mtoa ripoti kuwa "ripoti yako ni upuuzi mtupu" badala yake unatakiwa umuambie ripoti yako ina upungufu mkubwa n.k

Kwa hiyo ni vizuri kuwa makini na utumiaji wa lugha unapowakosoa wasomi wenzako, vinginevyo hata kama una hoja ya msingi utapuuzwa.
Kwa ripoti ile lugha iliyotumiwa na Lissu ilikuwa ya staha sana!
 
Tundu Lissu tayari amekuwa msemaji wa Acacia.
Ni aibu kwa msomi kama huyu kutoa kauli za kejeli kwa Rais Magufuli katika masuala yanayohusu maslahi ya taifa.
Hata kama serikali inakosea kuna njia ya kusahihisha sio kwa lugha za kejeli.
Ila serikali ina haki ya kutumia lugha za kuwakejeli wengine!
 
Unajua Ukisha Tengeneza Mazngira Ya Watu Kufanya Kaz Kwa Uwoga Unategemea Ukiwaasign Kaz Watafanyaje, Lazma Wakupe Majibu Unayo yataka Wewe. Ndivyo Wanavofanya Akina Mugabe, Kagame, Nk Wa Namna Hyo. Mf. Unaenda Mahala Unasema Hapa Lazma Kuna Wizi, Af Unatuma Watu Waende Kuchunguza, Unategemea Jb Gan?
Rais hatengenezi mazingira ya woga kama asili yako ni uwoga hata ukimuona mkeo utamuogopa tu.

Rais hakuongea tu kutoka hewani alijua kinachoendelea na ndiyo maana hata kabla ya uchunguzi alisimamisha zoezi la usafirishaji wenyewe.
 
Ujue mara nyingi wapinzani wanakuwa na hoja nzuri tu kwenye mambo mbalimbali shida ni kutoa mawazo yao kwa jazba na lugha chafu. Mwishowe wanaharibu ladha yote ya hoja zao.

"Ripoti ya Mchanga it is Rubbish! Rubbish!" Lissu (2017).Ni mfano mmoja miongoni mwa mingi.

Hauwezi ukawakosoa wasomi wenzako kwa kutumia lugha za namna hii. Haikubaliki dunia nzima. Wasomi hukosoana kwa hoja lakini kwa lugha zenye staha. Mfano huwezi kumuambia mtafiti, mchunguzi, au mtoa ripoti kuwa "ripoti yako ni upuuzi mtupu" badala yake unatakiwa umuambie ripoti yako ina upungufu mkubwa n.k

Kwa hiyo ni vizuri kuwa makini na utumiaji wa lugha unapowakosoa wasomi wenzako, vinginevyo hata kama una hoja ya msingi utapuuzwa.
Mkuu mda mwingine, ukali wa maneno unao utumia na jinsi unavyo ya tamka maneno,
mtu anajua tuu kua hiki kitu, nikibov au kibaya kwa kiasi gani,
ko kwa Lissu kusema vile alikua sahihi kabisa yani..
 
Tofautisha CDM na Lissu wewe, Lissu tapita na CDM itabaki.

Tatizo Lissu anajiona Mungu mtu sana siku hizi, Anawatukana na kuwazarau wengine kanakwamba yeye anajua yote hapa Duniani.
Kalewa sifa za kwenye mitandao sasa anapinga hadi mambo ya msingi.
Tunamchora tu, hiki kipindi cha JPM atavuliwa taulo mapema sana. Hatuwezi kumvumilia mtu anaetetea watu wanao tuibia hata kama anajaribu kujitetea.
Jinga kabisa huyu jamaa.
Hebu tueleze nini Lissu anapinga na uelewa wako kwa yale anayoyapinga ni upi? Haitoshi kuja na madai ya jumla kisha unahitimisha kuwa mtamvua taulo mapema. Nani anawadanganya kuwa nchi hii ni yenu peke yenu? Mnashindwa kubishana kwa hoja halafu mnaibuka na vitisho uchwara kama mlivyo uchwara! Hovyooo...
 
Kama ni wataalam basi kuna mahali walifungwa pingu kiasi kwamba wakawa hawana namna ila kumfurahisha aliyewatuma. Si unajua tabia ya viongozi wa kiafrika bwana, wanapenda kusikia kile walichokwisha kuamua!!
Sayansi ni sayansi tu haina kona kona madini kama yapo yapo tu na kama hakuna hakuna tu utengeneze ripoti ya uongo ili iwe nini.

Tusubiri na wachumi na report ya pili
 
Sijasema usifu kitu kama unaona kina kasoro, nimesema ubakosoa kwa lugha ya staha. Hebu fikiri mfano wewe umefanya kazi yako kwa kutumia muda akili na resources nyingine, halafu unamaliza na kuwasilisha halafu anaibuka mtu mmoja anayeaminika kuwa msomi anakuambia what you did is total rubbish! Hahahaha, hatuendi hivyo aiseee, Lisu yuko vizuri ila kwa lugha hizi sio aisee, ajirekebishe
ukifamya kazi mbaya kwa mda mrefu, na bado ww nimsomi,
basi kazima tu uelezee uzembe wako kwa kutazamia levek yako ya elim uliyo nayo,,
sa kama watu wana elmu kubwaaa wana fanya vtu vya chekechea basi nilazima tuku Judge the sameway...
 
Ujue mara nyingi wapinzani wanakuwa na hoja nzuri tu kwenye mambo mbalimbali shida ni kutoa mawazo yao kwa jazba na lugha chafu. Mwishowe wanaharibu ladha yote ya hoja zao.

"Ripoti ya Mchanga it is Rubbish! Rubbish!" Lissu (2017).Ni mfano mmoja miongoni mwa mingi.

Hauwezi ukawakosoa wasomi wenzako kwa kutumia lugha za namna hii. Haikubaliki dunia nzima. Wasomi hukosoana kwa hoja lakini kwa lugha zenye staha. Mfano huwezi kumuambia mtafiti, mchunguzi, au mtoa ripoti kuwa "ripoti yako ni upuuzi mtupu" badala yake unatakiwa umuambie ripoti yako ina upungufu mkubwa n.k

Kwa hiyo ni vizuri kuwa makini na utumiaji wa lugha unapowakosoa wasomi wenzako, vinginevyo hata kama una hoja ya msingi utapuuzwa.
This is also a Rubbish, only people with no confidence are doing what you propose.

We who mean what we say, and we say what we mean. We call Rubbish a Rubbish and is Rubbish endeed.
 
Hakuna siasa ktk ile report ya wanasayansi na ule ndiyo ukweli wa report yenyewe.

Uiite rubbish au sijui uiite takataka ndiyo report iliyofanyiwa kazi na wataalam
ile siasaa tuu
kama yale makapi yana kiasi icho cha pesa
jiulize ni madini kias gani yanayo ondokea kule mgodini...
siasa kwenye mambo ya msingi hazitakiwi.....
 
Mimi sina shida na content, hata kama ina kasoro kiasi gani, ishu lugha. Kuna aina ya lugha mtu ukishafikia hatua fulani haupaswi kuzitumia
Unazungumzia hatua ya Kati "employment seeking level". Wengine tumevuka huko, hatuabudu sanam.
 
Mimi sina shida na content, hata kama ina kasoro kiasi gani, ishu lugha. Kuna aina ya lugha mtu ukishafikia hatua fulani haupaswi kuzitumia
Mkapa wapinzani malofa...
yuke mbungu, mnyika mwizi..
esta bulaya mtukutu
Lowasa mfu hai
nyie kutamka tuu kua report ni rubbish mna mind...
acheni izo bana......
 
Kweli ni Rubbish wala hakukosea..Lisu kiboko ya mabashite yote!,wapi profesa wa karatasi..
Subiri Jtatu Raisi anasema usicheze mbali na TV yako ili unyanyue makwapa ya kumshangilia vizuri

Anayependa kutumia neno Rubish , hawa Mara nyingi ni mtu anayeitwa Dustbin. Kwa hili Lissu NA Dustbin which needs lots of rubbish to survive, otherwise it will be rendered useless.
 
Ujue mara nyingi wapinzani wanakuwa na hoja nzuri tu kwenye mambo mbalimbali shida ni kutoa mawazo yao kwa jazba na lugha chafu. Mwishowe wanaharibu ladha yote ya hoja zao.

"Ripoti ya Mchanga it is Rubbish! Rubbish!" Lissu (2017).Ni mfano mmoja miongoni mwa mingi.

Hauwezi ukawakosoa wasomi wenzako kwa kutumia lugha za namna hii. Haikubaliki dunia nzima. Wasomi hukosoana kwa hoja lakini kwa lugha zenye staha. Mfano huwezi kumuambia mtafiti, mchunguzi, au mtoa ripoti kuwa "ripoti yako ni upuuzi mtupu" badala yake unatakiwa umuambie ripoti yako ina upungufu mkubwa n.k

Kwa hiyo ni vizuri kuwa makini na utumiaji wa lugha unapowakosoa wasomi wenzako, vinginevyo hata kama una hoja ya msingi utapuuzwa.
Duh, pole sana, umemsahau Prf Paramaganga Kabudi alivyowaita wenzake mbumbumbu? Kwahiyo kwako rabbish ni tusi kubwa sana!! Aisee kweli mahaba ya nyau, sijui wasomi wapi hao, au hujui nini maana ya wasomi tukuelimishe?
 
Tundu Lissu tayari amekuwa msemaji wa Acacia.
Ni aibu kwa msomi kama huyu kutoa kauli za kejeli kwa Rais Magufuli katika masuala yanayohusu maslahi ya taifa.
Hata kama serikali inakosea kuna njia ya kusahihisha sio kwa lugha za kejeli.
Hakuna kejeli yoyote aliotoa, but kashangaa inakuaje Unataka kusolve tatizo kwa njia ya simamoto??
 
Hata kama ningekuwa nimemfahamu usiku huu, haiwezi kubadili swali langu hapo juu kuwa kama na yeye ni mjuvi wa mambo ya miamba.
Ni swali lisilo na maana kwenye hoja hii. Na Kwa msomi yeyote mwenye Kiwango cha research compiling. Kaangalie report za kesi zilizo andikwa na mahakimu katika kesi zinazo husisha taaluma mahususi malimbali.
 
Sijasema usifu kitu kama unaona kina kasoro, nimesema ubakosoa kwa lugha ya staha. Hebu fikiri mfano wewe umefanya kazi yako kwa kutumia muda akili na resources nyingine, halafu unamaliza na kuwasilisha halafu anaibuka mtu mmoja anayeaminika kuwa msomi anakuambia what you did is total rubbish! Hahahaha, hatuendi hivyo aiseee, Lisu yuko vizuri ila kwa lugha hizi sio aisee, ajirekebishe
inauma.ila ndio sifa ya kristapeni lazima utulie
 
  1. Lissu hajasoma ripoti husika, na hata angekuwa ameisoma;
  2. Lissu siyo mtaalam wa sayansi ya miamba wala madini; na kama bado hujaelewa,
  3. Hao unaosema kuwa ni 'wataalam' walioshangaa maudhui ya riporti ya Prof. Muruma, hujasema ni akina nani na walifanya uchunguzi gani kuthibitisha utaalam wao.
Kama hivyo basi, hitimisho lako unalosisitiza kwenye bandiko lako linabebwa na msingi (locus stand) gani? Unapaswa kuelewa kuwa Tanzania haijawahi (hakuna ushahidi wa takwimu) kufanya comparative study ya kiasi cha dhahabu tulichonacho dhidi ya mataifa mengine kama Canada, Australia, Afrika Kusini, Ghana, Chile, DR Congo wala Mali. Unachoelezwa kuwa Tanzania ni nchi ya nne kwa kuwa na wingi wa dhahabu Afrika ni tathmini zinazofanywa na wachimbaji wawekezaji wenyewe na kisha kusambaza takwimu hizo kulingana na mikakti yao ya kibiashara/uwekezaji. Miaka kabla ya 2009 walikuwa wakisema Tanzania ni nchi ya tatu Afrika (nyuma na Afrika Kusini na Ghana) kwa kuwa na dhahabu nyingi. Baadaye (2010 na kuendelea) wakasema Tanzania ni nchi ya nne nyuma ya Afrika Kusini, Ghana na Mali kwa kuwa na wingi wa dhahabu. Kwa hiyo, ni mtu mjinga tu asiyejua political economy za TNEs na beneficiaries wao ndie anaweza kusema eti, 'haiwezekani Tanzania ikwawa na madini kiasi kinachotajwa kwenye ripoti ya Prof. Mruma (mtaalam wa jiolojia/miamba ya madini) ka kuwa wataalam wa Acacia wamesema kuwa haiwezekani!
Too much words. Hata hakimu atakae hukumu hiyo kesi hatakuwa mtaalam wa miamba,

Ita hitaji mtaalamu wamiamba kuandaa, lakini kuisoma, kuelewa na kuihukumu si kazi ya wataalamu pekeyao,

Hata anaye kabidhiwa na kuisoma Kwa dakika5, kisha kuisemea na kuamua si mtaalamu wa miamba.

Mtaalamu Mkuu wa miamba mwenyewe kasha fukuzwa Kwa report hiyo.
 
Back
Top Bottom