Sophist
Platinum Member
- Mar 26, 2009
- 4,484
- 3,400
haya ni mawazo legelege yanayosimama kwenye loose assumption kuwa kiongozi mkuu wa serikali hapaswi kusimamia kazi bali kuacha mambo kujiendea kama hai ilivyo kuwa wakati wa utawala wa Kikwete.Unajua Ukisha Tengeneza Mazngira Ya Watu Kufanya Kaz Kwa Uwoga Unategemea Ukiwaasign Kaz Watafanyaje, Lazma Wakupe Majibu Unayo yataka Wewe. Ndivyo Wanavofanya Akina Mugabe, Kagame, Nk Wa Namna Hyo. Mf. Unaenda Mahala Unasema Hapa Lazma Kuna Wizi, Af Unatuma Watu Waende Kuchunguza, Unategemea Jb Gan?