Aibu kama mnanunuliwa INA maana mnajiuza!!?Hivi chadema nyie ndio mmekuwa mboga kiasi hiki? [emoji28][emoji28][emoji28] yani kwamba sasa na ninyi mnafika bei? Alafu sasa mnakuja kulilia hapa kwamba mnafika bei bila aibu?
Najiuliza tu, mngepewa nchi ingekuwaje? Maana hao mnaosema wamenunuliwa ndio wamgekuwa mawaziri wenu hao! Ndio ambao wangekuwa wawakilishi wa rasilimali zetu dhidi ya mabepari, sasa ingekuwaje?
Wanaume wazima mnalia kununuliwa kweli bila aibu?
je nyie mlio nusu mnaocheka mnaonunua kweli hamuoni aibuWanaume wazima mnalia kununuliwa kweli bila aibu?
Hapana tatizo fuba la ruzuku tu liwekwe mezani watu wapige pasu kwa pasu yasingetokea haya yoteKosa moja halihalalishi kosa lingine.
Lowassa alifika bei kwa Chadema kama CCM wasemavyo.
Wengine wananunuliwa sasa hivi kama CHADEMA wasemavyo.
Ila tabia ya kununuliwa sio nzuri,inaleta picha mbaya endapo CHADEMA ingeshika nchi.
Mawaziri wangenunuliwa.
Raisi angeikabidhi nchi kwa mabepari kwa kuiuza na kununuliwa.
Rushwa ingetamalaki.
Hii hoja ya kununuliwa wanachadema iangalieni inaleta picha mbaya kwa chama.
Hawaoni aibu kwa sababu kweli wao ni cheap laborHivi chadema nyie ndio mmekuwa mboga kiasi hiki? [emoji28][emoji28][emoji28] yani kwamba sasa na ninyi mnafika bei? Alafu sasa mnakuja kulilia hapa kwamba mnafika bei bila aibu?
Najiuliza tu, mngepewa nchi ingekuwaje? Maana hao mnaosema wamenunuliwa ndio wamgekuwa mawaziri wenu hao! Ndio ambao wangekuwa wawakilishi wa rasilimali zetu dhidi ya mabepari, sasa ingekuwaje?
Wanaume wazima mnalia kununuliwa kweli bila aibu?
CCM ilipukutisha majani makavu 2015 chadema ikayavamia kwa kasiIli Mti Unawiri vizuri Sharti Majani yadondoke yaliyochoka yadondoke. (Kwa wanaojua miti). Kwa wasomaji wa Biblia Yesu akawauliza wanafunzi wake, "Je Nanyi mwataka kuondoka?" Ni vema miti ipukutike majani yaliyochoka