7spirits
JF-Expert Member
- Dec 1, 2015
- 612
- 514
Mbona rais yeye naye hataki kukubali kuwa kuna errors za kimaamuzi ila yeye anataka kuungwa tu mkono...nafikiri pia hawa ni watani wa jadi, waamini wa vyama viwili tofauti ambao kukubaliana itakuwa mshikemshike sana!!!Sawa, kama ni hivyo basi, uwasilishaji si mzuri. Maana alipaswa kuanza kuunga mkono kwamba sasa Mzee umeanza, safi, lakini ongeza na mikataba mingine, shughulikia na hawa nk.