ni mpango wa kuwafratrate wabunge maarufu chadema baada ya Lema,anafuatia lissu kisha mnyika.yupo jamaa yangu usalama wa taifa alitumwa singida tangu ulipoanza uchaguzi arumeru.yupo huko hadi sasa.japo mashahidi wa ccm wnakimbia cortini,na wazi kwamba hakuna kesi,lakini lissu ataenguliwa.ajbu hakuna ccm hata mmoja atakayeenguliwa.subirini muone
ni mpango wa kuwafratrate wabunge maarufu chadema baada ya Lema,anafuatia lissu kisha mnyika.yupo jamaa yangu usalama wa taifa alitumwa singida tangu ulipoanza uchaguzi arumeru.yupo huko hadi sasa.japo mashahidi wa ccm wnakimbia cortini,na wazi kwamba hakuna kesi,lakini lissu ataenguliwa.ajbu hakuna ccm hata mmoja atakayeenguliwa.subirini muone
ni mpango wa kuwafratrate wabunge maarufu chadema baada ya Lema,anafuatia lissu kisha mnyika.yupo jamaa yangu usalama wa taifa alitumwa singida tangu ulipoanza uchaguzi arumeru.yupo huko hadi sasa.japo mashahidi wa ccm wnakimbia cortini,na wazi kwamba hakuna kesi,lakini lissu ataenguliwa.ajbu hakuna ccm hata mmoja atakayeenguliwa.subirini muone
Mahakama ni chombo huru wana haina link na usalama wa taifa wala CCM. Kumbuka wanaitwa usalama wa Taifa na si usalama wa CCM. Kama Lissu alifunja sheria rungu la mahakama litamgonga tu. Tuachie mahakama iwe huru ifanye kazi yake
Tatizo kubwa watanzania tunalopambana nalo kwa sasa ni mfumo mzima wa serikali yetu; watendaji wote wa serikali ni kada wa CCM, na hili lilifanyika hivyo sababu ya mfumo wa chama kimoja kwani zamani iliuajiriwe ilikuwa lazima uwe na kadi ya chama!. Ni pale tu tutakapoweza kuwatenga watendaji wa serikali na itikadi ya CCM, ndipo ukombozi wa nchi hii utakapopatikana! Hatuko mbali kulifikia hili, shime watanzania tukaze buti. Hawa majaji waki-CCM wataondoka na kizazi chao.
kakukosea nini au ni chuki binafs?Aenguliwe tu huyu jamaa mi simpendi
Aenguliwe tu huyu jamaa mi simpendi