Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,387
- 33,045
Lissu ndiyo anayetufaa kwa sasa. Yule mbaguzi akawe rais wa chato-gbadoliteMoja ya sifa ya kiongozi wa nchi ni kuwa na busara katika maamuzi yake. Lissu kwa mara nyingine leo amewathibitishia watanzania kuwa ni mtu asiyekuwa na busara na anayetaka ligi bila sababu ya msingi. Mtu kama Lissu akipewa madaraka makubwa ya nchi anaweza kuingiza nchi kwenye vita visivyo na ulazima wakati wowote...