Zanzibar 2020 Lissu kutamka hataki Muungano kwamgharimu Zanzibar uzinduzi wa kampeni ya urais, Waanzibar hawajamtaja hata jina tu

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,904
Lisu akiwa Zanzibar alitamka wazi kuwa haitaki muungano.

Sasa leo siku ya uzinduzi wa kampeni ya Mgombea uraisi wa Zanzibar Maalim Seif hawajamtaja kabisa Tundu Lissu.

Sababu wao wanatafuta Rais wa Zanzibar sio wa muungano Nikiwa Zanzibar, Wazanzibari wanasema walimshangaa Lissu aliposema anamuunga mkono mgombea urais wa Zanzibar wakati yeye sio mpiga kura wala raia wa Zanzibar kuwa uungaji mkono wake ni hewa sababu si mpiga kura wa kuchagua rais wa Zanzibar.

Leo wazanzibari wa Act wazalendo wamemwonyesha Lissu kuwa akae mbali na mambo yanayowahusu Wazanzibari peke yao kwa kutontaja hata jina tu mkutano wote pamoja na Lisu kujikomba kuwa anamuunga mkono Maalim Seif.

Hongereni ACT Wazalendo Zanzibar kwa ku muignore Lisu ambaye si mpiga kura wa kuchagua Rais wa Zanzibar.
 
Pumba hizi, kwahiyo wale watanganyika walionda kumuunga mkono mwinyi uungaji mkono wao haukua na maana??

Weka clip hapa Lissu akisema hataki muungano!

Kwa taarifa yako ajenda kuu ya ACT leo ni kero za muundo huu wa muungano, ambacho ndicho kilichosemwa na Lissu.

Mtahangaika sana mwaka huu ninyi mataka lakini makosa ni yenu wenyewe, mlishindwa kumsimamia rais wenu ameharibu sana.
 
Unafikiri Kwanini zito amewakata hao Chadema
Kazingatia katiba

Mambo ya uchaguzi wa Raisi wa Zanzibar ni yao wenyewe wazanzibari hayamhusu mtu wa Tanzania bara awe Lisu au yeyote

Ndio maana wamempuuza Lisu kwa kuingilia mambo yao ya ndani ya nchi yao ya Zanzibar yasiyohusiana na muungano
 
Pumba hizi, kwahiyo wale watanganyika walionda kumuunga mkono mwinyi uungaji mkono wao haukua na maana??

Weka clip hapa Lissu akisema hataki muungano!

Kwa taarifa yako ajenda kuu ya ACT leo ni kero za muundo huu wa muungano, ambacho ndicho kilichosemwa na Lissu.

Mtahangaika sana mwaka huu ninyi mataka lakini makosa ni yenu wenyewe, mlishindwa kumsimamia rais wenu ameharibu sana.
Tofautisha kuungwa mkono na chama chake mgombea uraisi kugombea mfano Act iliunga mkono uteuzi wa Maalim Seif kuwa mgombea Zanzibar

CCM tuliunga mkono uteuzi wa mgombea wetu Husein Mwinyi

Ila mambo ya kura ni yao

Sasa mtu kama Lisu anakurupuka toka nchi ya Tanganyika akiwa raia wa Tanganyika etii poo apewe kura Seif!! Wala mtu tunaomba!! Uzuri wazanzibari sio wanafiki wameona unafiki wa Lisu wame mu ignore
 
Nimegundua mambo matatu kutoka kwako:-

1. Huijui Zanzibar,

2. Huzijui siasa za Zanzibar, na

3. Huwajui watu wa Zanzibar.

Ungejua lolote miongoni mwa hayo wala usiongea uliyoongea!!

Aidha unatakiwa kutofautisha kati ya Wazanzibar Wazanzibar kwa upande mmoja, na Wazanzibar Wamakonde, Wanyamwezi, Wasukuma na Wandengereko kama Mwinyi kwa upande mwingine!!!

Hata Wazanzibar ndugu zangu kutoka KIlwa Kisiwani tu na wenyewe wala hawana haja na huu Muungano wa mafisi-CCM, hususani kama muungano wenyewe unaongozwa na Washamba aina ya Jiwe!
 
Lisu akiwa Zanzibar alitamka wazi kuwa haitaki muungano.

Sasa leo siku ya uzinduzi wa kampeni ya Mgombea uraisi wa Zanzibar Maalim Seif hawajamtaja kabisa Tundu Lissu.

Sababu wao wanatafuta Rais wa Zanzibar sio wa muungano Nikiwa Zanzibar, Wazanzibari wanasema walimshangaa Lissu aliposema anamuunga mkono mgombea urais wa Zanzibar wakati yeye sio mpiga kura wala raia wa Zanzibar kuwa uungaji mkono wake ni hewa sababu si mpiga kura wa kuchagua rais wa Zanzibar.

Leo wazanzibari wa Act wazalendo wamemwonyesha Lissu kuwa akae mbali na mambo yanayowahusu Wazanzibari peke yao kwa kutontaja hata jina tu mkutano wote pamoja na Lisu kujikomba kuwa anamuunga mkono Maalim Seif.

Hongereni ACT Wazalendo Zanzibar kwa ku muignore Lisu ambaye si mpiga kura wa kuchagua Rais wa Zanzibar.
Mjadala wa muungano yasemekana hautakiwi. Je wananzengo mwasemàje.
 
Ma CCM mkakojowe mkalale , Tundu lissu kawamaliza Zanzibar na uvamizi wana Babu yenu Laanatullahi Nyerere
 
Lisu akiwa Zanzibar alitamka wazi kuwa haitaki muungano.

Sasa leo siku ya uzinduzi wa kampeni ya Mgombea uraisi wa Zanzibar Maalim Seif hawajamtaja kabisa Tundu Lissu.

Sababu wao wanatafuta Rais wa Zanzibar sio wa muungano Nikiwa Zanzibar, Wazanzibari wanasema walimshangaa Lissu aliposema anamuunga mkono mgombea urais wa Zanzibar wakati yeye sio mpiga kura wala raia wa Zanzibar kuwa uungaji mkono wake ni hewa sababu si mpiga kura wa kuchagua rais wa Zanzibar.

Leo wazanzibari wa Act wazalendo wamemwonyesha Lissu kuwa akae mbali na mambo yanayowahusu Wazanzibari peke yao kwa kutontaja hata jina tu mkutano wote pamoja na Lisu kujikomba kuwa anamuunga mkono Maalim Seif.

Hongereni ACT Wazalendo Zanzibar kwa ku muignore Lisu ambaye si mpiga kura wa kuchagua Rais wa Zanzibar.
Pole sana bwana nahisi suala hili limekuuma sana, Lakini kumbuka watanzania wa sasa sio wa kudanganywa kilahisi namna hiyo. Ila ukweli ni kwamba TL anawaumiza sana wanaccm mpaka uchaguzi uishe japo wataiba ila atawaacha vipandevipande.
 
Kwakweli Mataga mnatapatapa sana!Yaani mpaka hamueleweki,yaani ni vururu varara tu!
Tulieni muandike propaganda za maana,shirikianeni kujadili ya kuandiki!Sio upupu wa namna hii!
 
Lisu akiwa Zanzibar alitamka wazi kuwa haitaki muungano.

Sasa leo siku ya uzinduzi wa kampeni ya Mgombea uraisi wa Zanzibar Maalim Seif hawajamtaja kabisa Tundu Lissu.

Sababu wao wanatafuta Rais wa Zanzibar sio wa muungano Nikiwa Zanzibar, Wazanzibari wanasema walimshangaa Lissu aliposema anamuunga mkono mgombea urais wa Zanzibar wakati yeye sio mpiga kura wala raia wa Zanzibar kuwa uungaji mkono wake ni hewa sababu si mpiga kura wa kuchagua rais wa Zanzibar.

Leo wazanzibari wa Act wazalendo wamemwonyesha Lissu kuwa akae mbali na mambo yanayowahusu Wazanzibari peke yao kwa kutontaja hata jina tu mkutano wote pamoja na Lisu kujikomba kuwa anamuunga mkono Maalim Seif.

Hongereni ACT Wazalendo Zanzibar kwa ku muignore Lisu ambaye si mpiga kura wa kuchagua Rais wa Zanzibar.
Hujui unachoongea.Huelewi alichoongea Lissu.Kaa kimyaaa Ficha upumbavu wako.
 
Lisu akiwa Zanzibar alitamka wazi kuwa haitaki muungano.

Sasa leo siku ya uzinduzi wa kampeni ya Mgombea uraisi wa Zanzibar Maalim Seif hawajamtaja kabisa Tundu Lissu.

Sababu wao wanatafuta Rais wa Zanzibar sio wa muungano Nikiwa Zanzibar, Wazanzibari wanasema walimshangaa Lissu aliposema anamuunga mkono mgombea urais wa Zanzibar wakati yeye sio mpiga kura wala raia wa Zanzibar kuwa uungaji mkono wake ni hewa sababu si mpiga kura wa kuchagua rais wa Zanzibar.

Leo wazanzibari wa Act wazalendo wamemwonyesha Lissu kuwa akae mbali na mambo yanayowahusu Wazanzibari peke yao kwa kutontaja hata jina tu mkutano wote pamoja na Lisu kujikomba kuwa anamuunga mkono Maalim Seif.

Hongereni ACT Wazalendo Zanzibar kwa ku muignore Lisu ambaye si mpiga kura wa kuchagua Rais wa Zanzibar.
Lissu hafai kuwa mwanasiasa analazimisha tu. Ndio maana badala ya kumwaga sera yeye analeta harakati za kisiasa.
 
Back
Top Bottom