Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,738
- 15,206
Tundu Lissu amesema kitendo cha waziri January Makamba kusingizia kwamba ametumwa na Rais Samia kushusha bei ya mafuta iliyopitishwa na Bunge ni kinyume cha sheria na ni uhaini kwa Rais wa nchi na hivyo Makamba hafai kuendelea kuwa Waziri hata kwa dakika moja mbele.
Lissu amesema anashangaa mpaka sasa kumuona Makamba akiendelea kuwa Waziri na kujiamini huko kwa Makamba maana yake atakuwa alitumwa kweli na Rais Samia.
Lissu amesema anashangaa mpaka sasa kumuona Makamba akiendelea kuwa Waziri na kujiamini huko kwa Makamba maana yake atakuwa alitumwa kweli na Rais Samia.