Lissu is too shallow compared to Prof Kabudi

Hajui hata katiba ya CHADEMA chama chake sembuse sheria ya nchi? Unapigwa risasi kwa mizengwe unashindwa kuyasoma mazingira?? Risasi inapigwa kulia unaumia kushoto? Then unajiita mwanasheria nguli hujui hata kuchambua mambo??
wakati mwingine ficheni upumbavu wenu...mahojiano ya dereva wa Lissu si alisema alimlaza chini ya steering... waliomshambulia walitokea nyuma ya gari..unafikiri risasi zingempata kulia au kushoto???
 
Wakolosai hawakuwa hivi !! Unatia aibu.
Hawa unaowahusudu wameingiza nchi mikataba ya kitumwa na hata Maghufuli hawezi kuifanya chochote. Ref kujaribu kufukuta dhidi ya Acaccia tumeambulia makinikia kuondoka kimya kimya. Aliyeongoza mazungumuzo hayo ni prf. Kabudi.

Huwezi kuelewa uwezo wa mtu mpaka u practice hoja zake. Lakini mnajifungia na kuondoka patupu. Halafu mnafanya hasira ya kumcharaza njugu 38 mukidhani mnamkomoa Lissu kumbe mnalikomoa taifa.
 
Kabudi aliisoma kwa kuangalia ..mwenzake lissu aliisoma kwa kuona .

Umri wa Lissu na uwezo wake wa Sheria..HUWEZI kaa nakufikiria uulinganishe na KABUDI .

Lissu nikitu kingine ndomaana mnapenda hata aaimie uko.
Wewe utakuwa mbumbumbu wa sheria au ni mwanaharakati tu
 
Wewe nawe!! Wakati mwingine una bore!! Wewe ndiyo unaona mada haina maana lakini wengine tunaona ina maana!! Wewe kama unaona mada haifai ungepita kimyaa tu mkuu!!
 
Lakini nakumbuka, katika Bunge la Mh. Spika Makinda, Lissu na Chenge ndo walikuwa wakimsaidia sana mama katika masuala ya kisheria inapotokea mkanganyiko bungeni.
 
Tatizo ana vitu vingi kichwani...halafu platform ni finyu.
 
Kuna tofauti kati ya kutoa hoja ya kumtetea mtu mmoja mbele ya mhimili na kutoa hoja ya kutetea watu ambao unahisi wanaonewa na mtu mmoja.... hivyo kwa mantiki hiyo uwasilishaji wake lazima utakuwa ni tofauti tu...
 
Hahaa....namkumbuka yule jamaa nu bingwa ktk presentation. Nimedownload video zake nikijisikia natizama. Napenda jinsi anavyo submit his case ingawa alishindwa case
 
Uzuri historia ya Lissu iko wazi na inaonesha hata kabla ya kuingia mjengoni bado Lissu alikuwa ni moto.. tofauti hapo ni mmoja anamtetea mtu mmoja hali mwingie anatetea jamii dhidi ya mtu mmoja
 
Jamaa inaonekana amechanganyikiwa na ile misamiati aliyoiona YouTube ile ya kusema equched. "" lakini Lisu anatafisiri misamiati ya kisheria kukuleta katika kiswahili rahisi. Halafu umlinganishe naye
 
Una habari kuwa Acacia wanakwenda kushinda kesi ya Makenikia...????

Kwanza wewe mto mada ndio too shallow hata kuelezea vizuri ulichokianndika.
Umeshindwa kutoa sababu zenye mashiko,wkt nilipoona huu uzi nikafikiri nitakutana na nondo kwelikweli kumbe ni rubbish.....,
 
Iam starting to understand you
 
Heard you got shot and went to hell,
So how's the devil doing ???
JF imefika hadi huko ??
Kids, teh teh teh teh....
 
Ukishaona mtu anakaa na kuanza kukulinganisha na wachimba chumvi basi wewe ni CHUMA......yani moto wa kuotea mbali

Tuheshimiane mkuu ebu acha kumlinganisha lissu na mambo ya kipumbavu......anyway huo ni mtazamo wako mdomo mali yako....naona unatumia vizr right of speech.

BashiTe MuSt Go
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…