Lissu: Bunge linapochemka ndio raha yetu

Lissu: Bunge linapochemka ndio raha yetu

Huko ccm mmejaa mazezeta tuu ndo maana hata uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo
Mbowe ndie wakulaumiwa kwakukuharibu akili na kukupatia sera ya matusi ndie mtaji, usilazimishe dadako awe kakayako!! kile upendacho wewe wote tufuate niujinga, cdm si mungu wa kila atakae wapinga apewe uccm asioujua pumba wewe,
 
Anataka bunge lijalo liwe na uwiano Sawa Kati ya wabunge wa CCM na upinzani.
Kwahiyo Ukawa wataendelea kuwa wapinzani hadi 2020 , lisu mbona anakubali kushindwa kirahisi hivi.
 

Lissu:
Tungekuwa wengi, ingekuwa nzuri, na bunge lijalo, ninatamani liwe na uwiano sawa wa wabunge wa CCM na upinzani ili kuleta usawa kuliko hali ya sasa.

Lissu:
‘Best moment' ya upinzani ni pale tulipowasha moto bungeni,Spika ajaye pia ajipange na moto wa upinzani ambao mwakani utakuwa mkubwa zaidi.

Lissu: Natamani kuona Bunge la
uwiano sawa wapinzani na CCM, hili ni la msingi na wabunge wa upinzani natamani kuona wenye mitazamo migumu kama ya Lissu, (John) Mnyika, (Mch Peter) Msigwa, (Halima) Mdee, Mkosamali, (David) Kafulila wabunge wa namna hii watachangamsha sana Bunge.

Duh yaan bunge lijalo liwe na wabunge wa CCM kwa upande mmoja na Wabunge wa Upinzani kwa upande mwingine, maana yake nin?maana yake Lissu anajua kuwa CCM hawatakuwa chama tawala.

WanaChadema wenye ndoto za ushindi msomeni sasa kiongoni wetu, yaan ata kampeni hazijaanza yeye tayari kaishawapa CCM ushind, maana yake anajua uchaguzi huu tunaenda kuhangaika na ubunge tu,urais anajua ni wa CCM.

Namuunga mkono kwenye hili, amekuwa mkweli.
 
Tibaijuka mbele ya kinana alishangiliwa sana kumbe hakuzomewa ukiwa ccm unakosa mpaka akili
Wacha kudandia treni kijinga kuku wewe! muulize kibendera mwenzie Chademakwanza alimzungumzia nani unakurupuka kitu usojua, kujifanya muelewa kumbe sweta lamikono mirefu!! tatizo huna upendo hum mmejaa ni fuata upepo kila atakae pinga mkipendecho ccm kunguni nyie
 
Last edited by a moderator:
Anataka bunge lijalo liwe na uwiano Sawa Kati ya wabunge wa CCM na upinzani.
Kwahiyo Ukawa wataendelea kuwa wapinzani hadi 2020 , lisu mbona anakubali kushindwa kirahisi hivi.
Soma uwelewe ndio ujibu hoja
 
Wacha kudandia treni kijinga kuku wewe! muulize kibendera mwenzie Chademakwanza alimzungumzia nani unakurupuka kitu usojua, kujifanya muelewa kumbe sweta lamikono mirefu!! tatizo huna upendo hum mmejaa ni fuata upepo kila atakae pinga mkipendecho ccm kunguni nyie

Naona umeanza kuweweseka na zile zomea zomea mlizopata kule nyanda za juu kusini leo mko wapi mzomewe tena?
 
Last edited by a moderator:
lisu wazir wa sheria na katiba october.

Lissu kakwambia hapo CCM haitakuwa wapinzani, maana yake CCM ndio itaunda serikali.

Lisu ina maana haamini kwamba UKAWA itachukua nchi?
ChademaKwanza
kua mstaarabu chagua maneno hasa ktk wakati huu kueleke Oct. Lissu anasema anataka CCM na Upinzani upate 50% 50% anamaono ya kuchukua nchi huyu?

Umesoma vyema kabisa

Thibitisha wapi amesema haamini ukawa haiwezi kuchukua nchi.

Hivi umeisoma hiyo habarI?soma mstari kwa mstari huoni anavyosema

Ikifikia 50% ndani ya bunge maana yake ni nini,huwenda tutakuwa tumekwisha tangaziwa Rais kutoka ukawa, inshallaah!
Lissu hajasema hivyo, kasema CCM haitakuwa wapinzani, maana yake CCM itatoa RAis kwa mujibu wa Lissu
Soma uwelewe ndio ujibu hoja

Hivi Chademakwanza huo uanahabari ulioupateje kama ata kusoma habari huwezi?usifanye watu mpaka wapate mashaka na uwezo wako.

Rejea hapo Tundu Lissu anawaambia Bunge lijalo liwe na wabunge wa CCM upande mmoja na wabunge wa upinzani upande mwingine, maana yake CCM hawatakuwa upinzani kwa mujibu wa Lissu, bali chama tawala.


  • Lissu: Tungekuwa wengi, ingekuwa nzuri, na bunge lijalo, ninatamani liwe na uwiano sawa wa wabunge wa CCM na upinzani ili kuleta usawa kuliko hali ya sasa.

Na anaenda mbele zaidi kusema anapenda wabunge wa upinzani wawe

  • Lissu: wabunge wa upinzani natamani kuona kama ya Lissu, (John) Mnyika, (Mch Peter) Msigwa, (Halima) Mdee, Mkosamali, (David) Kafulila wabunge wa namna hii watachangamsha sana Bunge.

Yaan Tindu Lissu kaishakubalia matokeo ata kabla kampeni hazijaanza






 
Nyie watu hivi kusoma mnajua kweli?

Tundu Lissu anawaambia tuwe na Bunge lenye upande mmoja wabunge wa CCM na Upande mwingine wabunge wa upinzani, maana yake CCM hawatakuwa upinzani kwa mujibu wa Lissu.

  • Lissu: Tungekuwa wengi, ingekuwa nzuri, na bunge lijalo, ninatamani liwe na uwiano sawa wa wabunge wa CCM na upinzani ili kuleta usawa kuliko hali ya sasa.







Na anaenda mbele zaidi kusema anapenda wabunge wa upinzani wawe
  • wabunge wa upinzani natamani kuona kama ya Lissu, (John) Mnyika, (Mch Peter) Msigwa, (Halima) Mdee, Mkosamali, (David) Kafulila wabunge wa namna hii watachangamsha sana Bunge.







Tundu Lissu ndio wanaotakiwa kwenye nchi hii
 
Tundu Lissu yupo kimya sana kuhusu kuchukuwa mafao ya milioni 280 huwezi kumsikia anaropoka chochote, issues zingine ambazo hawana maslahi nazo yeye na John Mnyika, kila muda utasikia muongozo spika, lakini kwenye "Furusi" Chadema na CCM wapo pamoja.
ona unavyoaibisha chama kwani mil.200 ni serikali ya ccm au ya chadema ndio ilipanga hivyo.
 
Tundu Lissu yupo kimya sana kuhusu kuchukuwa mafao ya milioni 280 huwezi kumsikia anaropoka chochote, issues zingine ambazo hawana maslahi nazo yeye na John Mnyika, kila muda utasikia muongozo spika, lakini kwenye "Furusi" Chadema na CCM wapo pamoja.

kwa taarifa yako hao uliowataja hapo juu hata hiyo hela ni kama wamepunjwa. Hao walistahili hela zaidi, maana hata darasani mwanafunzi anayefaulu sana ni yule anayatekeleza anachofundishwa. Ajabu eti hata yule asiyeonekana kutekeleza wajibu wa mmbunge bungeni anapata sawa na hao akina Tl na Mnyika!!!
 
Lisu Jembe la Ukweli ... Si makinda si Ndugai, Werema wala yule asiejua sharia sijui wanamuita nani aka Masaju ... wote wanaonekana vilaza tu ....
 
Back
Top Bottom