Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,873
- Thread starter
- #41
Ni ile mikataba inayofanya Fedha za walipakodi badala yakuingia kwenye mfuko wa Serekali au shirika lake wao wanaipindisha nakuingia kwenye mifuko yao binafsimkuu sidhani kama kuna kitu kinaitwa mkataba hewa, hewa haishikiki, wala haionekani, kwa hiyo kama ni mkataba hewa, ni sawa na kuwepo kitu kishicho onekana, naweza kusema hakipo kabisa, kwahiyo ni sawa na kusema hiyo mikataba haipo, sasa sijui ni mikataba ya namna gani ambayo haipo lakini imesainiwa, tafadhali fafanua maana ya neno "hewa" kama ulivyolitumia na "mikataba" hivyo ukapata neno "mikataba hewa" hiyo mikataba hewa ndio ipi mkuu