Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,873
- Thread starter
- #21
Lisu ina maana haamini kwamba UKAWA itachukua nchi?
Ugesoma kwaza uelewe ndio utamke usikurupuke
Lisu ina maana haamini kwamba UKAWA itachukua nchi?
Jieleze vizuri ulivyoandika usije kufukuzwa Chadema.
Hivi wakati akizungumza hilo alikuwa mzima kichwani au alikuwa anazungumza akiwa amekunywa viroba? Anapolizungumzia bunge kama bunge anapaswa kuelewa kuwa na yeye ni sehemu ya bunge, hivyo kama bunge likichemka na yeye akachemka.
Kuna hao watia Nia wenu wamezungumzia Richmond, Meremeta, Escrow, Epa au Kagoda?Mbona mil 280 hajazungumzia,hapo ndo tunapowaweka sawa na ccm
Hapo anazungumzia wale Wa ndiooo hata Walivyosema Watanzania wapingwe walitikia wapigwe tuu
Sasa kama Unasema ndio Mpaka kwenye kuwapiga Watanzania unafikiria october Watanzania watafanyanini?kwa hiyo kwa akili yako wale wa "Ndiyo" ndio sehemu ya bunge, wale wa "Hapana" siyo sehemu ya bunge?
Ulitaka tufurahishwe na Kusafishwa mafisadi namikataba hewa watu wanayoingia nao wawekezaji?ila hatufurahishwi mnapolichangamsha kwa kuvunja mic na kupiga kelele zisizokua na tija, halafu mnatoka nje
em quote aliposema hayo au panapo-imply hivyo,acha kupotoshaLisu ina maana haamini kwamba UKAWA itachukua nchi?
mkuu sidhani kama kuna kitu kinaitwa mkataba hewa, hewa haishikiki, wala haionekani, kwa hiyo kama ni mkataba hewa, ni sawa na kuwepo kitu kishicho onekana, naweza kusema hakipo kabisa, kwahiyo ni sawa na kusema hiyo mikataba haipo, sasa sijui ni mikataba ya namna gani ambayo haipo lakini imesainiwa, tafadhali fafanua maana ya neno "hewa" kama ulivyolitumia na "mikataba" hivyo ukapata neno "mikataba hewa" hiyo mikataba hewa ndio ipi mkuuUlitaka tufurahishwe na Kusafishwa mafisadi namikataba hewa watu wanayoingia nao wawekezaji?
Tundu Lissu yupo kimya sana kuhusu kuchukuwa mafao ya milioni 280 huwezi kumsikia anaropoka chochote, issues zingine ambazo hawana maslahi nazo yeye na John Mnyika, kila muda utasikia muongozo spika, lakini kwenye "Furusi" Chadema na CCM wapo pamoja.
Upo mombasa sehemu gani?nimejaribu kuangalia size ya IQ yako nimeskitika sana,pole ndugu
Mkuu mbona haichekeshi hii au hauna kichekesho kipya?Nikiwa na mtoto kama wewe nakupekeka somalia manake huna faida kwenye familia.
Sheria ndio inasema hivyo wewe, wapitishaji ni walio wengi bungeni. Kuhusu posho ni wewe kama mlipa kodi ulipaswa kusema kwa nguvu usikike. Umeshakuwa mkubwa acha kuwaza kitotoTundu Lissu yupo kimya sana kuhusu kuchukuwa mafao ya milioni 280 huwezi kumsikia anaropoka chochote, issues zingine ambazo hawana maslahi nazo yeye na John Mnyika, kila muda utasikia muongozo spika, lakini kwenye "Furusi" Chadema na CCM wapo pamoja.
Upo mombasa sehemu gani?
Tundu Lissu yupo kimya sana kuhusu kuchukuwa mafao ya milioni 280 huwezi kumsikia anaropoka chochote, issues zingine ambazo hawana maslahi nazo yeye na John Mnyika, kila muda utasikia muongozo spika, lakini kwenye "Furusi" Chadema na CCM wapo pamoja.
ila hatufurahishwi mnapolichangamsha kwa kuvunja mic na kupiga kelele zisizokua na tija, halafu mnatoka nje
Tundu Lissu yupo kimya sana kuhusu kuchukuwa mafao ya milioni 280 huwezi kumsikia anaropoka chochote, issues zingine ambazo hawana maslahi nazo yeye na John Mnyika, kila muda utasikia muongozo spika, lakini kwenye "Furusi" Chadema na CCM wapo pamoja.
Tundu Lissu yupo kimya sana kuhusu kuchukuwa mafao ya milioni 280 huwezi kumsikia anaropoka chochote, issues zingine ambazo hawana maslahi nazo yeye na John Mnyika, kila muda utasikia muongozo spika, lakini kwenye "Furusi" Chadema na CCM wapo pamoja.