Lissu: Bunge linapochemka ndio raha yetu

Lissu: Bunge linapochemka ndio raha yetu

Usidhani kuongea sana maana yake kujua kila kitu, tuko kwenye Siasa tunataka nchi yetu mwisho wa siku tuishi maisha mazuri. hatuhitaji kushabikia kila kitu au kuwafanya wengine kama Miungu watu chochote wanachosema ukaona sawa wengine hatuna Ushabiki wa kivyama.

em quote aliposema hayo au panapo-imply hivyo,acha kupotosha
 
Bado sana kuzomewa! na mtamjua october kuwa yeye nani na huyo mungumtu wenu atamshuhudia mjengoni, hivi mnamatumain asilimia ngapi jimbo la kigoma mjini?
Labda mjengo wa Usaliti, Mbona amehama kwenye jimbo lake kulikoni? Mlishamuliza mbona kile ccm walichomtuma kukufanya Chadema mbona hakukifanikisha?
 
Usidhani kuongea sana maana yake kujua kila kitu, tuko kwenye Siasa tunataka nchi yetu mwisho wa siku tuishi maisha mazuri. hatuhitaji kushabikia kila kitu au kuwafanya wengine kama Miungu watu chochote wanachosema ukaona sawa wengine hatuna Ushabiki wa kivyama.
Tokea Chama cha Chadema kuanzishwa kimeonyesha umakini wa hali ya juu sasa ukisema huna uchama nimakosa sana
 
Tokea Chama cha Chadema kuanzishwa kimeonyesha umakini wa hali ya juu sasa ukisema huna uchama nimakosa sana
Hehe umakini cdm! hilo bado tatizo nikufanya watu fulani miungumtu isie kosea na kukosoleka, mmejenga halifulani ya kila atakae kosoa ni adui au ccm huo ni utoto wa kisiasa, kubari kukosolewa na usipende chuki ikutawale
 
Hehe umakini cdm! hilo bado tatizo nikufanya watu fulani miungumtu isie kosea na kukosoleka, mmejenga halifulani ya kila atakae kosoa ni adui au ccm huo ni utoto wa kisiasa, kubari kukosolewa na usipende chuki ikutawale
Huyo unae mtetea kumbuka tulimlea tokea alivyokua chuoni lakini amekuja kua kituko baada ya usakatonge
 
Huyo unae mtetea kumbuka tulimlea tokea alivyokua chuoni lakini amekuja kua kituko baada ya usakatonge
Kulelewa hata mbuzi analelewa, nyerere kafundishwa herufi A-Z na wakoloni ilikuwaje awakosoe? umimi dunia ya utandawazi yaleo haupo, hata babako akizidisha ukoloni usie na maana kijana unasepa na kujitambue sembuse hawa vyama vya ubabe!!!
 
Kulelewa hata mbuzi analelewa, nyerere kafundishwa herufi A-Z na wakoloni ilikuwaje awakosoe? umimi dunia ya utandawazi yaleo haupo, hata babako akizidisha ukoloni usie na maana kijana unasepa na kujitambue sembuse hawa vyama vya ubabe!!!

Mbona maswali yangu unayakwepa hutaki kujibu?
 
Huyo unae mtetea kumbuka tulimlea tokea alivyokua chuoni lakini amekuja kua kituko baada ya usakatonge
Kulelewa hata mbuzi analelewa, nyerere kafundishwa herufi A-Z na wakoloni ilikuwaje awakosoe? umimi dunia ya utandawazi yaleo haupo, hata babako akizidisha ukoloni usie na maana kijana unasepa na kujitambue sembuse hawa vyama vya ubabe!!!
 
Usidhani kuongea sana maana yake kujua kila kitu, tuko kwenye Siasa tunataka nchi yetu mwisho wa siku tuishi maisha mazuri. hatuhitaji kushabikia kila kitu au kuwafanya wengine kama Miungu watu chochote wanachosema ukaona sawa wengine hatuna Ushabiki wa kivyama.
unaleta longolongo wakati nimeuliza swali dogo tu.ni wapi hapo juu Lisu amesema UKAWA hawataingia ikulu,mambo ya ushabiki yanatoka wapi?sio lazima ujibu kama unajua uliropoka usijibu
 
Lissu kakwambia hapo CCM haitakuwa wapinzani, maana yake CCM ndio itaunda serikali.




Umesoma vyema kabisa



Hivi umeisoma hiyo habarI?soma mstari kwa mstari huoni anavyosema


Lissu hajasema hivyo, kasema CCM haitakuwa wapinzani, maana yake CCM itatoa RAis kwa mujibu wa Lissu


Hivi Chademakwanza huo uanahabari ulioupateje kama ata kusoma habari huwezi?usifanye watu mpaka wapate mashaka na uwezo wako.

Rejea hapo Tundu Lissu anawaambia Bunge lijalo liwe na wabunge wa CCM upande mmoja na wabunge wa upinzani upande mwingine, maana yake CCM hawatakuwa upinzani kwa mujibu wa Lissu, bali chama tawala.


  • Lissu: Tungekuwa wengi, ingekuwa nzuri, na bunge lijalo, ninatamani liwe na uwiano sawa wa wabunge wa CCM na upinzani ili kuleta usawa kuliko hali ya sasa.

Na anaenda mbele zaidi kusema anapenda wabunge wa upinzani wawe

  • Lissu: wabunge wa upinzani natamani kuona kama ya Lissu, (John) Mnyika, (Mch Peter) Msigwa, (Halima) Mdee, Mkosamali, (David) Kafulila wabunge wa namna hii watachangamsha sana Bunge.

Yaan Tindu Lissu kaishakubalia matokeo ata kabla kampeni hazijaanza







Wapi ameonesha kukubali matokeo? Au unaendeshwa na mihemko?
 
Lissu: Unajua tulianza kwa kusuasua sana, hatukusikika. Wakati Rais anakuja kulihutubia Bunge kwa mara ya kwanza Novemba 18, 2010, tulisusia pale na hapo ndipo tukatengeneza ufahamu mkubwa kwa Watanzania na wakaanza kutuelewa kwa nguvu na zaidi, hoja ilikuwa kumsusia Rais.
 
Back
Top Bottom