Lissu awalipua mawaziri, wabunge kwa unafiki wao kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii

Status
Not open for further replies.
Sasa kama unasema kuwa serikali huchangia asilimia tano, unashangaa nini mifuko hiyo kutenga fedha kwa ajili ya maendeleo ya jamii?

15% inayochangiwa na serikali ni kwa ajili ya wafanyakazi--sio kwa ajili ya maendeleo ya jamii!! Mwisho wa siku mstaafu anatakiwa alipwe 20% (5% kutoka kwa wafanyakazi + 15% kutoka serikalini). Sasa niambie hizo fedha zinazochotwa na mawaziri na wabunge wa CCM zinatoka wapi.
 
Mwenyewe umekili kuwa serikali inachangia kwma serikali inachangia kwa nini mfuko huu usifanye kazi za kijamii pia hasa zinazo lengo wananchi moja kwa moja halafu kama ungezungumzia suala la mbowe kukopa na kukwepa kulipa ningekuona wa maana sana.

Usijitoe akili. Serikali huchangia 15% kama mchango wake kwenye amana ya mfanyakazi na inaingia moja kwa moja kwenye akaunti ya mfanyakazi. Hakuna pesa za ziada zaidi ya hizo. Kama wewe sio mfanyakazi huwezi kujua mambo haya. Fedha zinazochotwa na hao mafisadi wa CCM ni mali ya wafanyakazi na sio za kufanyia maendeleo ya jamii.

Hata zile fedha zinazokopeshwa kwa serikali ni wizi mtupu. Kwanini wasikope benki? Ina maana hizo benki hawazioni? Wanakimbilia huko kwa kuwa wanajua kwamba fedha hizo hazina uangalizi wa kutosha--wanadhani ni fedha za kujichotea tu? Huu wizi wa fedha za umma una mwisho wake. Ee Mungu tuepushe na mafisadi hawa wanaodokoa fedha zetu bila huruma.
 
Usijitoe akili. Serikali huchangia 15% kama mchango wake kwenye amana ya mfanyakazi na inaingia moja kwa moja kwenye akaunti ya mfanyakazi. Hakuna pesa za ziada zaidi ya hizo. Kama wewe sio mfanyakazi huwezi kujua mambo haya. Fedha zinazochotwa na hao mafisadi wa CCM ni mali ya wafanyakazi na sio za kufanyia maendeleo ya jamii.

Hata zile fedha zinazokopeshwa kwa serikali ni wizi mtupu. Kwanini wasikope benki? Ina maana hizo benki hawazioni? Wanakimbilia huko kwa kuwa wanajua kwamba fedha hizo hazina uangalizi wa kutosha--wanadhani ni fedha za kujichotea tu? Huu wizi wa fedha za umma una mwisho wake. Ee Mungu tuepushe na mafisadi hawa wanaodokoa fedha zetu bila huruma.

Corporate Social Responsibilities (CSR) ni jambo la kawaida kutolewa na hii Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, sio TZ tu ni ulimwenguni kote.

Maeneo ya kipaumbele hutegemea guidance ya SSRA kwa kuangalia vipaumbele vya nchi mfano kwa sasa ni vile vipaumbele vya BRN. Tatizo pekee Kama lipo ni iwapo fedha hizo zimetolewa kinyume na utaratibu, nikiwa na maana ni ili mtu atetee huo Mfuko kwa malipo ya huo msaada.

Madame speaker alionya jambo hili kwa mzigo kabisa. Ni wajibu wa CAG akisaidiana na SSRA sasa waangalie na kutoa ripoti iwapo hiyo CSR inatumiwa vizuri???? Je ni kweli inapelekwa maeneo yenye uhitaji mkubwa? Mfano afya, elimu, maji n.k

Mwisho SSRA itoe policy kwenye management ya funds za CSR.

Nawasilisha.

Queen Esther
 
Corporate Social Responsibilities (CSR) ni jambo la kawaida kutolewa na hii Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, sio TZ tu ni ulimwenguni kote.

Maeneo ya kipaumbele hutegemea guidance ya SSRA kwa kuangalia vipaumbele vya nchi mfano kwa sasa ni vile vipaumbele vya BRN. Tatizo pekee Kama lipo ni iwapo fedha hizo zimetolewa kinyume na utaratibu, nikiwa na maana ni ili mtu atetee huo Mfuko kwa malipo ya huo msaada.

Madame speaker alionya jambo hili kwa mzigo kabisa. Ni wajibu wa CAG akisaidiana na SSRA sasa waangalie na kutoa ripoti iwapo hiyo CSR inatumiwa vizuri???? Je ni kweli inapelekwa maeneo yenye uhitaji mkubwa? Mfano afya, elimu, maji n.k

Mwisho SSRA itoe policy kwenye management ya funds za CSR.

Nawasilisha.

Queen Esther

Fedha za kwenye mifuko ya jamii ni mali ya wanachama wanaochangia (WAFANYAKAZI). Wafanyakazi huchanga 5% ya mishahara yao na serikali huwaongezea 15% ili kutimiza 20%---na fedha hizi hutunzwa kwenye akaunti za wanachama. Sasa niambie hizo fedha kwa ajili ya CSR zinatoka wapi? Wafanyakazi hukatwa zaidi ya 25% (PAYE+NHIF+Michango ya vyama vya wafanyakazi+nk). Sasa iweje tena hata zile fedha zao kidogo zinazotunzwa kwa ajili ya kulipwa mafao zichotwe na mafisadi halafu mnawatetea wezi hao? Kwanini hasa wafanyakazi hukamuliwa hivi? Hizo shughuli (CSR) wanazosingizia kufanya ina maana hazitengewi bajeti? Jamani, acheni kujitoa akili.

Nawasilisha.

CCM wataiua nchi.jpg
 
Corporate Social Responsibilities (CSR) ni jambo la kawaida kutolewa na hii Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, sio TZ tu ni ulimwenguni kote.

Maeneo ya kipaumbele hutegemea guidance ya SSRA kwa kuangalia vipaumbele vya nchi mfano kwa sasa ni vile vipaumbele vya BRN. Tatizo pekee Kama lipo ni iwapo fedha hizo zimetolewa kinyume na utaratibu, nikiwa na maana ni ili mtu atetee huo Mfuko kwa malipo ya huo msaada.

Madame speaker alionya jambo hili kwa mzigo kabisa. Ni wajibu wa CAG akisaidiana na SSRA sasa waangalie na kutoa ripoti iwapo hiyo CSR inatumiwa vizuri???? Je ni kweli inapelekwa maeneo yenye uhitaji mkubwa? Mfano afya, elimu, maji n.k

Mwisho SSRA itoe policy kwenye management ya funds za CSR.

Nawasilisha.

Queen Esther

Nimepitia sheria iliyoanzisha mfuko wa LAPF nikanukuu lengo na madhumuni ya kuanzisha mifuko hii--sijakutana na na hiyo Corporate Social Responsibility inayotumiwa na wabunge mafisadi wa CCM kuchota fedha kutoka kwenye mifuko ya wafanyakazi bila huruma. Kama wanataka kuchota fedha si waanzishe mifuko yao--wao fedha zao wanapewa zote kila baada ya miaka 5 lakini hizi za wafanyakazi masikini ndizo za kuchota na kufanyia ufisadi? Huu upuuzi haukubaliki hata kidogo.

Hebu fungua attachment ya sheria ya LAPF uone objectives zake(nadhani hata mifuko mingine ni hizohizo). Fungua attachment uisome vizuri halafu uniambie hiyo CSR imeandikwa wapi.
View attachment LAPF2006-1.pdf
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom