Lissu atia fora bungeni

Lissu ni sawa na wabunge 150 wa ccm, kiakili, Personality, Kiuchambuzi ...hebu nitajie mbunge yoyote wa ccm anaemkaribia uwezo huyo jamaa

Kapitein John Komba au hata Livingstone Lusinde aka Kibajaji.Ah ni mtazamo tu mi niko nalala.
 
Lissu uko juu ni mwanaharakati wa ukweli, keep on we are with you................, huyo bibiye yuko kichama zaidi ndio maana hataki utaje chama cha magamba
 
Mpaka kieleweke kamanda wetu wamukizimia kipasa sauti wakashindwa kukuzimia sauti aliyokupa mungu watashindwa daima
 
Naomba Mungu siku wakimzimia LISU tena kipaza sauti wpate kiharusi hapo hapo.....IKITOKEA HIYO hawatarudia tena....nanai atakubali kupata kiharusi?!!!
 
Kwa taarifa tu Lissu hajaanza ujasiri leo. 1996 ndiye aliye toa siri za kufukiwa wachimbaji wadogowadogo na mwekezaji kwa AMRI ZA CCM kule BULYANHULU. Watu walifukiwa na makatapila ya mwekezaji mzungu mpaka leo hii hakuna tamko lolote. Tundu Lissu innawezekana ni mwema sana kuliko anavyoonekana. Mungu awabariki wapigania haki na uhuru wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…