Lissu anafikiri siasa ni sheria tu

Lissu anafikiri siasa ni sheria tu

Uchwara yeye anadhani siasa ni vitu tu. Ndiyo maana hapendwi hata na mkewe.
 
kmbwembwe,

Sasa kama hujui sheria utaweza aje kuongoza nchi kwa misingi ya sheria? Katiba ya chi ndio usukani wa kuongoza nchi
 
Anaadhani akiwa Rais atakua anafungua makesi tu mahakamani.
 
kmbwembwe,

Mkuu, watanzania wa karne ya 20+, Sio watanzania wa karne ya 18-, ukifuatilia vizuri hotuba za Lissu utagundua kuwa ana umahiri wa kuongea lakini si umahiri wa kuongoza.
 
Jiwe halali usingizi,kila akigeuka anamuwaza Lissu!
 
Hasa wadhulumati waliouza nyumba za umma mpaka zingine wakawagawia mahawara zao.

Lissu akiingia madarakani atalishugulikia hili kwa nguvu zote.
Madalaka yepi hayo wazungumzia ndugu?
 
Back
Top Bottom