Lissu amshukia Lowassa

Lissu amshukia Lowassa

Mwenzio anakula nchi Dubai nyie mnatoana macho !!!
 
Lisu jamani hajapona msaidieni kupata dawa au kumalizia dozi ile aliyopewa na kigwangala.

mi ni msukuma lakin usukuma wa huyu simiyu unatia mashaka, shiiiiit,fikiria wewe sio kupelekwa tu kisa visent hvyo vya ccm jali maisha yako na vizaz vijavyo.Nashukuru unatambua kuwa lissu ndo mwiba wa ccm
 
Nilikuwa napata tabu kujua huyu mtu anayejiita Simiyu yetu, ni wa namna gani, sababu hana mchango wa maana humu jamii forum, kama kweli ni msukuma aisee unawaaibisha wenzio walioelimika, ila tangu nimjue kitabia, namchukulia poa tu, yeye ni kuropoka tu ujinga utafikiri yupo anasukwa na mabini salon, lo!
 
- duh makubwa haya sasa mmeanza kumshukia mwokozi wenu wallahi haya maaajabu najua huyo Lissu kesho ataitwa kuonywa na wakubwa wake Lowassa ahashambuliwi na Chadema hata siku moja, anyways nitamtafuta Lissu nimuulize kulikoni kama kweli haya ni kweli basi ana ujasiri sana!!

Le Mutuz

wakuu kwa comments za kejeli na dharau kama hizi nikimtukana huyu nitakuwa namuonea
 
Sijawahi ona mtu anaepigiwa kampeni bila kusema kitu kama huyu Lowassa!
It's unbelievable! Ni kama vile kuna spiritual forces working on his behalf. Yani jamaa hahangaiki kwenye jukwaa, redio, blogu au outelt yeyote kuhusu kuutaka uraisi, ila sisi huku sasa hadi visu tunachomana mpaka mkuu wa nchi anaweweseka na kuongelea swala lake publically...
and what does the king fish/ whale do? Stays quite and moves through the waters as if totally un concerned.
Unajua lazima watu waogope! Mimi mwenyewe ni team Lowassa ila approach ya jamaa inantisha hata mimi!
What is he thinking? What is his strategy? And unfortunatlely kwa sababu nchi yetu ishazoea kuongozwa na wajinga tunashindwa ku critically and intelligently discuss approach ya Lowassa sababu hatujazoea. Tushazoea mipasho, vijembe, moves za mabavu yani Nape style, sasa we are faced with Lowassa the Brain tunabaki ku hate na wasio hate wana blindly support WOTE TUKO SAWA TU HATUELEWI! Hahaha!
 
Lissu asicheze na LOWASSA atampoteza kabisa kwenye ulimwengu wa SIASA.
 
Nilikuwa napata tabu kujua huyu mtu anayejiita Simiyu yetu, ni wa namna gani, sababu hana mchango wa maana humu jamii forum, kama kweli ni msukuma aisee unawaaibisha wenzio walioelimika, ila tangu nimjue kitabia, namchukulia poa tu, yeye ni kuropoka tu ujinga utafikiri yupo anasukwa na mabini salon, lo!

Mkuu siyo kwamba simiyu yetu ni mwiba wa hoja za moto ndiyo maana unaweweseka sana? jenga hoja mkuu siyo kulalamika tu na kama unaona hau-fit humu unaweza kwenda jukwaa la akina mzee Yusufu.
 
- duh makubwa haya sasa mmeanza kumshukia mwokozi wenu wallahi haya maaajabu najua huyo Lissu kesho ataitwa kuonywa na wakubwa wake Lowassa ahashambuliwi na Chadema hata siku moja, anyways nitamtafuta Lissu nimuulize kulikoni kama kweli haya ni kweli basi ana ujasiri sana!!

Le Mutuz

Ccm must do her home work!
 
- duh makubwa haya sasa mmeanza kumshukia mwokozi wenu wallahi haya maaajabu najua huyo Lissu kesho ataitwa kuonywa na wakubwa wake Lowassa ahashambuliwi na Chadema hata siku moja, anyways nitamtafuta Lissu nimuulize kulikoni kama kweli haya ni kweli basi ana ujasiri sana!!

Le Mutuz

Huna hadhi ya kuongea na Lissu wewe...
 
mawazo mgando ya mr mamvi kuwa ili kutegua bomu lisilipuke la ukosefu wa ajira kwa vijana ni kuwanunulia pikipiki!
Yaani hapo ndo mwisho wa kufikiri!
Hii ni hatari sana
 
- duh makubwa haya sasa mmeanza kumshukia mwokozi wenu wallahi haya maaajabu najua huyo Lissu kesho ataitwa kuonywa na wakubwa wake Lowassa ahashambuliwi na Chadema hata siku moja, anyways nitamtafuta Lissu nimuulize kulikoni kama kweli haya ni kweli basi ana ujasiri sana!!

Le Mutuz

mchochezi mkubwa ww,na ww ndio utakuwa ulichochea mpaka mama yako akachika na baba yako ndo akaenda kumuowa mama kilango
 
- duh makubwa haya sasa mmeanza kumshukia mwokozi wenu wallahi haya maaajabu najua huyo Lissu kesho ataitwa kuonywa na wakubwa wake Lowassa ahashambuliwi na Chadema hata siku moja, anyways nitamtafuta Lissu nimuulize kulikoni kama kweli haya ni kweli basi ana ujasiri sana!!

Le Mutuz

Mkuu kwa tuhuma za Lissu zinaonyesha kwamba suala la udini kwa CCM ni la watu binafsi na sio la kichama, pia nahisi anatofautiana na wahafidhina wenzake wengi ambao wanafikiri kwamba kama Lowassa akitoswa kupewa bendera ya CCM 2015 basi Chadema wapo tayari kumpatia bendera, kwani kwa maono ya Chadema ifikapo 2015 ni zamu ya Kaskazini uraisi wa JMT.

Tusubiri kuona kama Lissu atanusrika kwa kwa saliti huu mbele ya wahafidhina wa CDM
 
Na Grace Macha

KADA wa Chama Cha Mapinduzi, (CCM) wanaokabiliwa na tuhuma za ufisadi, Edward Lowassa anadaiwa kutumia kigezo cha udini kutaka kuungwa mkono kwenye harakati za kukimbilia Ikulu jambo linalohatarisha amani ya nchi.

Aidha Rais Jakaya Kikwete ametakiwa kuweka hadharani majina ya watuhumiwa wa biashara ya madawa ya kulevya ambayo aliwahi kulitangazia Taifa kuwa anayo vinginevyo itakuwa ni vigumu kuondoa mashaka kuwa si mshirika wao.

Hayo yalisemwa juzi na Mwanasheria Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Tundu Lissu na wakati akimnadi mgombea udiwani wa kata ya Sombetini, Ally Bananga kwenye viwanja vya Ngusero.

Lissu alisema kuwa baada ya Lowassa kuona hana sifa za uongozi kutokana na kuwa si muadilifu wala safi kulingana na tuhuma za ufisadi zinazomwandama ameamua kukimbilia makanisani akiwashawishi viongozi wa dini wamuuunge mkono kwa kigezo cha kuwa ni Mkristo mwenzao.

“Kuna makada wengine wa CCM nao wanazunguka huko misikitini wakisema hii ni zamu yetu sisi Waislam hivyo anashawishi wamchague kwa kigezo cha Uislam tu .Hawa watu wanasahau dini si kigezo wala sifa ya uongozi tuwakataeni, sijui wanalipeleka wapi hili Taifa zaidi wanatutafutia machafuko hawatufai wote hawa,” alisema Lissu.

Akizungumzia muswada wa madiliko ya katiba, Lissu alisema kuwa katiba inasema kuwa nchi ni moja lakini kwa sasa kuna Maamiri Jeshi wawili ambao mmoja ni Mwenyekiti wa CCM, Kikwete na mwingine ni Makamu wake, Dk Mohamed Shein jambo alilosema kuwa ni hatari sana hasa ikitokea wakitofautiana na kupishana kauli ilihali wote wanamajeshi.


JUHUDI ZA KUMPATA LOWASSA KUZUNGUMZIA MADAI HAYA ZILIGONGA MWAMBA BAADA YA SIMU YAKE YA KIGANJANI KUPOKEWA NA MTU MWINGINE AKIDAI MBUNGE HUYO WA MONDULI YUKO KIKAONI AMBAPO ALITAKA APIGIWE BAADA YA SAA MOJA.

ALIPOPIGIWA TENA SIMU HIYO ILIITA BILA KUPOKELEWA

Je Lissu atanusurika kwa usaliti wake kumnanga Lowassa mbele ya wahaidhina ambaye kwa siku za karibuni ameonekana ni karata ya Chadema kuelekea 2015?

Je Kumnanga Lowassa kutauwa ndoto ya chadema ya 2015 kupata raisi kutoka kaskazini?
 
Mwaka 2000 wakati kina RA wanahangaika na urais wa JK wenyeviti wa mikoa wengi majority if not all walikuwa wanajengewa mpaka nyumba just to win their support then magazeti na social media hazikuwepo kazi ilianza Mara tu baada ya 1995, JK and team wamefanya kazi kwa miaka kumi engineering the process. Huwezi kuwa kiongozi bora bila maandalizi huwezi kuwa kiongozi bora bila vision, kimsingi siyo Kila mtu anaweza kuwa Rais, na urais hajui kwa ngekewa Wala kupewa ni process ambayo inaanza ndani ya nafasi ya mtu then inakuja nje ya nafasi yake kwa kuwashirikisha watu na Mungu lazima awe kwenye huo mchakato mzima. Urais ni jambo ambalo mtu lazima alitamani na awe na uwezo hajui kwa mtu kukaa Kimya au kukaa nyumbani. Lipumba ameutafuta kwa zaidi ya miaka ishirini, Kama ungekuwa unakuja kwa Elimu, afya bora na mawazo mazuri na dini angeshakuwa Rais. Mshangao wangu Mdogo sana mtu ambaye walidhani wamemuumiza vya kutosha mwaka 2008 inakuwaje Leo hii wanamwogopa inakuwaje Leo hii ndiye gumzo kubwa nakumbuka Sitta alisema hawawezi pita kariakoo ? Hii ni miujiza ya Mungu nadhani wenzetu wanaliina hilo EL kama si watanzania na wapenzi wake asingeweza kufanya haya yote hana utajiri wa Bakharesa Wala Mengi na pesa ingekuwa urais basi Mengi na Bakharesa wangeshaongoza Tanzania na kina MO ! Ndugu zangu kimsingi nasema tuko kwenye boti sahihi na mti wa maembe pekee ndo unarushiwa mawe deep down wote wanajua hawana mgombea anayemzidi sifa mgombea wetu anayekubalika cross border Kama wa kwetu lakini pia mgombea mwenye nia na dhamira ya dhati kabisa ya kuharakisha maendeleo ya mtanzania Kama EL. Wangekuwa kuwa naye wangeshamweka wasingesubiri taratibu za chama. JK hakusubiri. Hivi kuna mtu anayedhamiria ubunge ambaye hajafika kwenye jimbo mpaka leo kuweka network ? Nia na sababu tunazo with them or without them we will claim our destiny. Waseme na kumnyanyasa EL wanavyotaka lakini wote wanajua ni mchapa kazi ana maamuzi na ni mzalendo wa dhati. Wangekuwa wana ushahidi wowote wa rushwa trust me ndugu zangu wangeshauweka hadharani siku nyingi hawana hata chembe ya physical evidence kwake. Tubakie kwenye mstari tumpaishe mgombea Mengine tumwachie Mungu ! EL hakatwi na mtu na hajamkosea mtu Wala chama Kama ushahidi upo wamwite kwa vikao ! Kila mtu anaruhusiwa kusema safari ya matumaini...... Bora anayesema kuliko anayesemea chooni.

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
- No way mimi ni businessman kaka sasa nawekeza kwenye media zaidi, huko siko kaka!! thanks!! nawekeza kwenye media ndio maana mpaka saa hizi nipo ofisini kaka kazi tu!!

- Mzima lakini maana wewe ni watu wa loong time humu, naona turudie tena yale mambo ya muziki kama zamani kuleeee au?

Le Mutuz

Le Mutuz unataka uwekeze kwenye media ipi? Inabidi uendane na wakati umeona vitu vijana wanavyo vitaka? Ukileta mambo ya zamani wazee siku hizi hawasikilizi mambo ya kizamani nao
 
Back
Top Bottom