Atawaomba radhi watu wangapi? wabunge 48 wa chadema? au viongozi wote wa CHADEMA? au wana-CHADEMA wote? Hivi Shibuda anajua nani ni CHADEMA? Kwa akili yake na hao waliomtuma wanafikiri CHADEMA ni wabunge na viongozi wengine ndani ya chama. Lakini kwa kumsaidia CHADEMA na mamilioni ya watanzania wake wa kwa waume, wazee kwa kwa vijana, waliopigika kimaisha na kupoteza imani na ccm pamoja na serikali yake? Na alichokifanya Shibuda bungeni dhidi ya posho ni kuweka waziwazi dhamira yake kuwa hayuko bungeni kusaidia watanzania maskini, yuko pale kutunga BETI za kiswahili ili kumfurahisa bosi wake ccm.
Mh Lissu na viongozi wengine CHADEMA, mtoseni huyu, na huo ujira wa mwera akawadai mabosi wake ccm au aje huku mtaani aone maisha yanakuwaje. Kiongozi wa hovyo kabisa huyu.
Mh Lissu na viongozi wengine CHADEMA, mtoseni huyu, na huo ujira wa mwera akawadai mabosi wake ccm au aje huku mtaani aone maisha yanakuwaje. Kiongozi wa hovyo kabisa huyu.