Nadhani hata kama wangeitisha mkutano wa wananchama wote wa chadema kuamua swala la shibuda nadhani 99.9999% watam dismiss Shibuda kutoka CDM. Sidhani kuna wakumlaumu katika maamuzi yatakayotolewa na kamati kuu.
Kama kamati kuu inaogopa kufanya maamuzi basi waitishe mkutano mkuu waamue tuone kama atachomoka.
Kama kamati kuu inaogopa kufanya maamuzi basi waitishe mkutano mkuu waamue tuone kama atachomoka.