Ningekutukana tusi kwa pale ulipozaliwa, sema tuu naheshimu sheria za humu JukwaaniHivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti
Mpeni sasa ili msibebe lawama kwake kila zuio ni fursaKama kuna mtu anajua chanzo cha kuto_ omba kibali mapema atuambie. Haka kajamaa ni kaongo kaongo sana kanatafta kuonewa huruma.
Mitano tena hatuuzi nchi
Burdani sanaHofu labda rubani kufungiwa.Lkn hofu ya nn Hali mtesi atokuwepo tena
Ndiyo wameshaondoka hivyo. Wapo angani tayariUkifanye hivo pilot anafungiwa kutoendesha tena nchini
Barbarosa huyu siyo mwanaume ni Mwanamke anafanya kazi Uhuru media amezaliwashwa na kiongozi wa CCMMtoto wa kiume unabana pua unasema "who knows" utakuja kupata mzee humu ujifungue
RIP MasaburiHivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti
WanaChadema na ACTwazalendo walioko Bomang'ombe na KIA waelekee huko Uwanja wa Ndege ikibidi hao maafisa wale Kibano
Mimi niko Geita nimejiandaa vilivyo ni Molotov Cocktails na zingine tumegawana na Vijana wa ActWazalendoNenda wewe na wote ndani kwako.. acgeni uchochezi huku mumekaa makwenu..
💚💛💚💛💚
Mzee Lowassa ametii sheria amekua kama mwaliHivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti