thanks, but assume kwa bahati mbaya he becomes a president....nani is his 1lady?
Not this time.....tumekuwa na bahati mbaya nyingi sana....imagine tunaelekea kusheherekea uhuru wetu 2011 tukifikisha miaka 50...hatutaki hizi bahati mbaya tena..
Hakuna bahati mbaya katika uchaguzi wa Rais:A S 100:thanks, but assume kwa bahati mbaya he becomes a president....nani is his 1lady?
Pengine si Riziki, RAISI MZIMA USIWE NA MKE, ANATAKA KUTULETEA YA CANAAN BANANA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Rais wa Botswana hana mke.Ian Khama - Wikipedia, the free encyclopedia
Wakuu naomba yeyote anayemfahamu first lady wetu ikiwa Lipumba anakuwa president wetu baada ya oct 31.