Lipumba: Sina mpango wa kuhama, bila mimi CUF haipo

Lipumba: Sina mpango wa kuhama, bila mimi CUF haipo

BEHOLD

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
5,057
Reaction score
10,731
Amesema ametumia muda wake mwingi kuijenga CUF kuwa chama imara na bila yeye CUF itakufa.

Ameongeza hana mpango wa kuihama CUF.

Magazetini RFA.
 
Amesema ametumia muda wake mwingi kuijenga CUF kuwa chama imara na bila yeye CUF itakufa.

Ameongeza hana mpango wa kuihama CUF.

Magazetini RFA.

Ninaomba anayemwelewa Lipumba anisaidie. Tatizo lake ni nini? Anachotaka ni nini hasa? Kama CUF ni yeye, na cuf hawamtaki, na bila yeye cuf haipo, kwa nini asianzishe chama kingine hao ambao wanamtegemea yeye wamfuate ili iwe mbadala wa cuf inayokufa bila yeye?
 
Mwenyekiti tika 1995 mpaka leo amechuja
 
Ninaomba anayemwelewa Lipumba anisaidie. Tatizo lake ni nini? Anachotaka ni nini hasa? Kama CUF ni yeye, na cuf hawamtaki, na bila yeye cuf haipo, kwa nini asianzishe chama kingine hao ambao wanamtegemea yeye wamfuate ili iwe mbadala wa cuf inayokufa bila yeye?
Halafu anasema haondoki ng'o
 
Amesema ametumia muda wake mwingi kuijenga CUF kuwa chama imara na bila yeye CUF itakufa.

Ameongeza hana mpango wa kuihama CUF.

Magazetini RFA.

Lakin huyu jamaa si aliwatelekeza wenzake jangwani (wakati wa kampeni na uchaguzi) akitarajia wafe kwa njaa (washindwe uchaguzi)? Napata wakati mgumu kumuelewa Profesa. Anaidhalilisha elimu yake aiseee. Nishaanza kutamani nisiwe Profesa kama akili zenyewe ndio hizo
 
Prof Lipumba nina uhakika sasa
Aliondoka CUF na wakaongeza wabunge na wakashinda ZNZ mbona?
 
Amesema ametumia muda wake mwingi kuijenga CUF kuwa chama imara na bila yeye CUF itakufa.

Ameongeza hana mpango wa kuihama CUF.

Magazetini RFA.

Alipojiuzulu nyadhifa zote na kutoweka nchini alitaka Chama kiwe dhaifu?
 
Amesema ametumia muda wake mwingi kuijenga CUF kuwa chama imara na bila yeye CUF itakufa.

Ameongeza hana mpango wa kuihama CUF.

Magazetini RFA.
mbona alikimbia mapigano wakati CUF inamhitaji kwenye uchaguzi na bado CUF ikaendelea!
 
Bado nchi hii haijapata mwanasiasa mkombozi hasa...Badala yake tunapata wachumia tumbo.....Na wanafanya siasa kwa manufaa ya matumbo yao na familia zao....

Siasa zimekuwa kama mapazia ya kuficha uchafu wao.....

Ndio kama hawa wakina lipumba wakati ambao anatazamiwa ayaongoze mapambano...Yeye ndio anawaachia wapambanaji jangwani......

Wengine tuliokuwa tunawetegemea kwenye vita za ufujaji wa mali za umma na ukwepaji kodi ndio wamekuwa wakwepaji kodi sugu hata wanaumbuliwa na watawala......

Siku zote mungu hamfichi mnafiki na hizo nyakati za wanafiki kuwekwa uchi...Ili uwe kama mchujo wa kupata makamanda wa vita wa ukweli....
Tunawashangaa wapinzani kwa kuwa wao ndio wanajinadi kuwa mbadala wa ccm ambayo ni chafu na imeoza kwa rushwa na ufisadi........

Freedom is not free.....
 
Back
Top Bottom