Na uongo mwengine huooooo!!!!!!!
Kaulizwa swali la kipuuzi na akalijibu kipuuzi. Muuliza swali akadai kuwa ushindani ni kati ya Jakaya Kikwete na Wilbord Slaa. Yeye Prof. Lipumba anamuunga mkono nani. Lipumba akajibu kwa kusema "mimi namuunga mkono Professor Ibrahim Haruna Lipumba" na kuacha kicheko!
Sasa mtoa mada atuelezee kipi kingine kiliulizwa kuhusiana na Dr. Slaa na nini lilikuwa jibu la Prof. Lipumba. Acheni unazi na uongo kwani Oktoba 31, 2010 si unazi wala uongo utakaopiga kura! :A S angry:
Acha u-ccm huo, kuongea nadharia tu bila facts. weka video hapa wana JF tutaamua wenyewe kama ni uongo au vinginevyo. hapa hakuna zidumu fikira za yule mra pale kwenye kiti