bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Atakuwa zubeda wa sikonge yule....Naona kuna Ushungi mmoja anamuuliza Lipumba kuhusu Mgombea Mwenza Wa Chadema da, Ama kweli it Lipumba + Mkwere VS Dr. Slaa
Atakuwa zubeda wa sikonge yule....Naona kuna Ushungi mmoja anamuuliza Lipumba kuhusu Mgombea Mwenza Wa Chadema da, Ama kweli it Lipumba + Mkwere VS Dr. Slaa
Naona kuna Ushungi mmoja anamuuliza Lipumba kuhusu Mgombea Mwenza Wa Chadema da, Ama kweli it Lipumba + Mkwere VS Dr. Slaa
Sijamponda dr slaa nimesema nikijipima mimi na dr slaa mimi namzidi dr slaa sijamponda ila nimesema vile ninavyoona kwa kutumia utafiti hayo ni maneno yake prof lipumba
Jamaa baada ya kusema hivyo tu, watu wakamwamuru mwenye social club kuzima TV na watu wakaondoka, nimejaribu kwenda kwenye bar moja mashuhuri hapa mtaani na wenyewe wamebadlisha channel baada ya tukio hilo, wanacheck super sport.
Jamaa kajiharibia.
Atakuwa zubeda wa sikonge yule....
mpaka sasa siwaelewi wapinzani kuto kuungana kama kweli wana nia moja ya kuikomboa nchi yetu.
Unachukia sana ushungi mkuu? hivi masister wanavaa nini vile kwenye vichwa vyao? Maana huwa nawaona kwa mbali.
Unachukia sana ushungi mkuu? hivi masister wanavaa nini vile kwenye vichwa vyao? Maana huwa nawaona kwa mbali.
Nilikuwa nasubiri ushtukie mwenyewe, hata kutuaga...mmhHa ha ha Unajua bht jana Sikonge na Zubeda waliondoka Kimya Kimya hata Kuaga LoL! Naamini hata Sikonge naye yuko Movenpik
sikweli hajasema anamuunga mkono dr. Slaa amesema anamuheshimu slaa,nakatika ushindani unataka aseme slaa nibora kuliko yeye?kama unampenda slaa sawa ila usizushe uongo.Wajameni kama Tz ishawahi kupata magenious basi Lipumba tutamhesabu. Leo kasema anamuunga mkono dr.SLAA.
Kaongeza kusema kuwa ila dr slaa ni kchuguu, yeye ni mlima. Kwa maneno hayo basi, usipompa Lipumba basi ongeza kura kwa Slaa ili ashinde kwa kishindo.
Ombi maalum: Dr.SLAA ukimwacha prof.Lipumba ktk muundo wa serikali yako mwaka 2015 sikupi kura mara ya pili.
TANZANIA BILA MAJUHA INAWEZEKANA.
crap o malt
Mwafrika huwezi kuepa wa hivi.... Wapo tu!crap o malt
hivi mnakwendaga kozi ya kupindisha ukweli? au kuna matatizo kwenye bongo zenu(wewe na slaa) ?
aah yule mama mwenye sosho klabu.
Nilikuwa nasubiri ushtukie mwenyewe, hata kutuaga...mmh
Sikonge nimemuona pale, alikwa kama 'observer' tu, ila darasa bado kwa zubeda kama ulivoshuhudia
Nilikuwa sijui kama mamako ni mchaga.