Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Ccm-b...
Wajameni kama Tz ishawahi kupata magenious basi Lipumba tutamhesabu. Leo kasema anamuunga mkono dr.SLAA. Kaongeza kusema kuwa ila dr slaa ni kchuguu,yeye ni mlima. Kwa maneno ayo basi,usipompa lipumba basi ongeza kura kwa Slaa ili ashinde kwa kishindo. Ombi maalum: Dr.SLAA ukimwacha prof.Lipumba ktk muundo wa serikali yako mwaka 2015 sikupi kura mara ya pili. TANZANIA BILA MAJUHA INAWEZEKANA.
Amemkubali Slaa
dk.slaa anashambuliwa kila pande. Huku lipumba, huku mkerwe. Ila lipumba ni mmoja wa wapinga mageuzi wakuu.
Kauli zake zinadhihirisha wazi.
Lipumba kaniboa pale anapomshambulia Dr Slaa kuwa hawezi kujifananisha na yeye.Eti Dr Slaa ni kama kichuguu na Lipumba ni kama mlima Kilimanjaro.Very stupid.