Duh.. Lipumba anasema atamshughulikia Chenge na atawaleta SFO kutoa ushahidi dhidi yake.
Ataleta ushuzi tu, something like.........nimekunwa na Lipumba.Nasubiria kuona Mjengwa atasema nini baada ya huu mdahalo
Hebu tupe updates bana! sisi huku kijijini hakuna umemeahhaaa...kumbe ni huyo....mimi kanichanganya alivyosema hawezi kumtaja huyo mtu hataki maneno na watu...ila Slaa yeye aliwataja....sijui Lipumba anaogopa nini maskini
He huelewi tena! Du!duh...leo wamekata kwako ili usisikie hoja za rais wako...anyway mimi nasikiliza lakini sielewi
Lipumba mhuni kweli..anaua JK kichini chini..anasema CUF hawaendeshi campaign ki BMW (baba, mama na watoto)