:bowl:Kama itakuwa h,basi ni vema CCM na CUF waungane na kuwa chama kimoja!!!
Kama itakuwa h,basi ni vema CCM na CUF waungane na kuwa chama kimoja!!!
ngoja tuone nini kitatokea
cuf wamekubali kuolewa na ccm ndoa ilifanyika zanzibar, hivyo ccm na cuf ni nyumba mojahicho kitu hakiwezi kufanywa na CCM kwani kumpa madaraka Lipumba ni sawa na kujipalilia makaa,
jamani tuwe tunafanya utafiti kabla kuzua mambo. Katiba ya JMT inasema waziri mkuu atatokana na wabunge wa kuchaguliwa.
hicho kitu hakiwezi kufanywa na CCM kwani kumpa madaraka Lipumba ni sawa na kujipalilia makaa,
Kuna tetesi kuwa JK ameamua kufanya kweli, baada ya Lipumba kumtambua sasa kumpa uwaziri mkuu au kuunda nae serikali ya umoja wa kitaifa kwa kuchagua akina Rashid mohamed kuwa mawaziri wa JK nk, ili kuendeleza ule muafaka wa Zanziba na huku kughiribu kuwa alikuwa bega jwa bega na wapinzani; naona kuna siri sirini; ngoja tuone nini kitatokea
Hii inathibitisha kuwa Chadema kuendelea kuwa chama cha upinzani kwa Tanzania nzima
KAKA! kwani Mizengo amechaguliwa? kama ndiyo ni kwa kura ngapi?
Kiufupi ni kwamba hakuna mwananchi hata mmoja aliepiga kura kumchagua kuwa mbunge.
Pinda akipewa u-PM au mbunge yeyote wanedai amepita bila kupingwa (hajapigiwa kura) basi Katiba ya nchi itakuwa imevunjwa kwa mujibu wa katiba ya URT/JMT kuwa PM lazima atokane na wabunge wa KUCHAGULIWA