Ponera
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 556
- 87
CUF kama chama hawakupaswa kujiingiza kwenye mambo haya. Kwanini wasiteue watu wao wakaenda kuwadhamini kama watu binafsi? Hii ingawa si kweli itathibitisha kashfa za CCM kuwa CUF ni chama cha kidini au kina udini. Je huu ni mwanzo wa kuvunjika kwa ndoa ya CCM na CUF? Endeleeni kubomoana. Vita ya panzi ati.
Mtoa mada ni mnafiki lipumba hakusema cuf itamwekea dhamana ponda ila alisema haki ya kupata dhamana ni ya kila mtu alichowasii wananchi na waislam alisema wasiandamane