Lipumba: CUF itawawekea dhamana akina Ponda

Lipumba: CUF itawawekea dhamana akina Ponda

Nilikuwa ninaamini kabisa kwamba Cuf wanapakaziwa tu kwamba wao ni chama cha kiislamu, lakini kwa move hii, ni dhahiri kwamba yote yaliyokuwa yanavumishwa ni ya kweli. Wanajaribu kuwavuta waislamu upande wao ili wawaunge mkono katika siasa. Pole sana Julius Mtatiro, maana baada ya kuwa umetumiwa, utatemwa tu kama kapi la mua.
 
Linapofika kwenye dini Prof anakuwa mjinga, Dr anakuwa mbumbumbu na hata rais anakuwa lofa. Kwamba Lipumba hajui waliochoma makanisa kuiba vitu na kuchochea vurugu ni wahalifu ni kichekesho. Mbona hatujawahi kumwona akiwawakea dhamana waliokandamizwa na serikali dhalimu kwa kutetea haki za jamii na haki za binadamu? Ndio wana haki ya kupewa dhamana lakini mpaka Lipumba ajiingize huko? CUF inajinasibu na waislamu aghalabu. Sasa tafsiri yake nini? Kwamba wafuasi wa CUF ndio kina ponda na madai yao ya vurugu? Mbona anaua chama chake pasipo kufikiri? Lol!
 
Kuna tetesi zilizagaa jana mahakamani kuwa mwenyekiti wa cuf anajiandaa kumwekea dhamana sheikh ponda iwapo tuu dpp ataondoa zuio la dhamana dhidi ya sheikh ponda.
 
Who are you trying to fool? Mimi ni Mtanzania kama ulivyo wewe na siasa za bongo nazifuatilia japo kidogo. Hoja kuwa hujasikia, it does not mean kwamba hakuna wapo wengi and I accidentally got the message from your fellows in 2010 elections mlipokuwa mkimpigia chapuo padri. Mtatuua jamani kwa huu udini wenu.
Hukusikia Sumbawanga ambapo waumini wa kanisa walitengwa kwa sababu hawakiungi mkono chadema. Dodosa uambiwe, usikimbilie hoja nyepesi za kusingizia wengine udini huku ukiwa unaficha wa kwako. Binafsi nimeshtuka!

Ni kazi bure kujaribu kumfanya mtu alieamua kuwa bata na mbuzi wote ni ndege akubali kuona tofauti iliyopo kati ya hawa viumbe wawili!
BTW: Muumini wa kanisa ndie nani huyo?
 
manabii hawapigiwi kura na AMANI HAILETWI/KULINDWA NA UJINGA BALI kusoma si ujanja. AMANI ITAJENGWA KAMA KUNA HAKI NA USAWA
 
na walipokua wanadai/wanaomba shekh ponda apewe dhamana kama haki yake kikatiba ( kupitia M.Marando) walikua wanatetea mkristu ( yan sheh Ponda) au? wakat mwingne tuwe tunantumia hekma kabla hatujatoa mawazo yetu
 
kweli ni tatizo kubwa sana juu ya uelewa wa baadhi ya watu. Na hili inawezekana ni tatizo labda la mfumo wa elimu zetu maana kwa wao waislam wanaona ni kweli wanaonewa.

484359_323987607688380_1867496410_n.jpg484359_323987607688380_1867496410_n.jpg hio fronti line katikati pangekaa wannee tu kaka kikwete shain na wenineo wakristu mmngeona kina ponda na wengine watakavyo lalama..........
 
Huu ufisadi wa kuchakachua kauli za watu. Profesa hajasema kama CUF itawachukulia dhamana watuhumiwa. Alichosema ni kwamba alikwenda Central Police kufuatilia dhamana ya mmoja wa watuhumiwa ambae ni jamaa yake. Alipofika centra akakutana na kufanya mazungumzo na RPC na DP na wakamuomba pia asaidie kuwaomba waislam wasiandamane, na hicho ndicho alichokifanya. Wacheni kupotosha habari kwa utashi wa kisiasa. Hizo ndo siasa za maji taka! kuweni makini mnapoleta mada hapa. Pamoja na kwamba hili ni jukwaa la CDM ila ni vema kuwatendea haki na wengine pia.
 
Hongera Lipumba. Jk anasahau kwamba wakiristo 2010 walimotosa. harakati za Akina Ponda ndio waliomfanya arudi Ikulu. DPP kumbe yakiwa maswala ya waislam anatumia sheria lkn yakija maswala ya MAFISADI unamsikia anatoa kwikwi. waislam watz hawakuanza kuteswa na KIKWETE, wote wanafuata sera tu
nakupongeza sana kwa kugraduate kwenye chuo kikuu cha wajinga duniani. prudent people do not speak like you do!
 
Kama ambavyo hukujua kuwa CDM ni chama cha kikristo pale walipokuwa wakimpigia debe Dr Ulimboka! Ngoma droo, inabalance tu kutokana na mawazo yako. Kwani tatizo liko wapi?

[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD="width: 151, bgcolor: transparent"] Jina
[/TD]
[TD="width: 307, bgcolor: transparent"] Dr.Ulimboka
[/TD]
[TD="width: 312, bgcolor: transparent"] Sheik.Ponda
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 151, bgcolor: transparent"] Dini
[/TD]
[TD="width: 307, bgcolor: transparent"] Mkristo
[/TD]
[TD="width: 312, bgcolor: transparent"] Muislamu
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 151, bgcolor: transparent"] Taaluma
[/TD]
[TD="width: 307, bgcolor: transparent"] Daktari
[/TD]
[TD="width: 312, bgcolor: transparent"] Sheikh
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 151, bgcolor: transparent"] Uongozi
[/TD]
[TD="width: 307, bgcolor: transparent"] Mwenyekiti wa jumuiya ya Madaktari
[/TD]
[TD="width: 312, bgcolor: transparent"] Mwenyekiti wa Jumuiya ya Waislamu
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 151, bgcolor: transparent"] Uzoefu
[/TD]
[TD="width: 307, bgcolor: transparent"] Alipata kipigo kikali baada ya kuwa mstari wa mbele kutetea maslah ya madaktari wote .
[/TD]
[TD="width: 312, bgcolor: transparent"] Yuko Segerea baada ya kutetea na Kuhamasisha Vurugu za waislamu
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 151, bgcolor: transparent"] Wadhamini
[/TD]
[TD="width: 307, bgcolor: transparent"] Madkatari (wakristo na Waislam)
[/TD]
[TD="width: 312, bgcolor: transparent"] Waislamu wanaandaa maandamo makubwa.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Kama ambavyo hukujua kuwa CDM ni chama cha kikristo pale walipokuwa wakimpigia debe Dr Ulimboka! Ngoma droo, inabalance tu kutokana na mawazo yako. Kwani tatizo liko wapi?

Duh! wewe unalinganisha Ponda na Ulimboka! Kweli udini ni sumu inayopofusha.
 
Kamam Lipumba ana uchungu na nchi hii unafkiri angekubali kirahisi chama chake kimezwe na ccm na kufanya mseto ZANZIBAR. mkubali tu kua Kesi ya Ponda si kesi ya kisiasa, kinapojitokeza chama cha siasa kuingilia kati maana yake kina interest na tukio
:A S angry:
 
Umetisha kaka, ila wanafki watajifanya kama hawaoni ulicho post hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom