Aman Ng'oma
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 954
- 510
Hii ni kwa mujibu wa akili yako inayotazama mambo kwa chuki na ubaguzi dhidi ya watu usiowataka.Kuwa na mwandishi kama wewe ni hatari sana kwa mustakabali wa Tanzania yetu. Lazima tukubali kwamba Tanzania ni ya watanzania wote,hakuna aliye na thamani kubwa kuliko mwingine na wala hakuna mwenye haki zaidi ya mwingine.Lazima tuappreciate mchango wake wa kuhamasisha amani alioufanya Lipumba,kutumia maguvu hayaleti amani.Hizi tuzo zinapoteza maana kabisa! Juzi katoka msikitini kuhubiri shari, leo anapewa hongera kwa nishani! Ama kweli Tanzania kila kitu ni kinyume-nyume!